Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,933
- 988
- Thread starter
- #61
Banki moon
Mkuu, hicho ulichoweka si msemo ni jina la mtu (nomino). Wako wengi wanaoweka/kuandika majina ya watu mfano Furgason. Aresene wenger, Morinho, Osama, G. Bush, Obama nk.
Katika thread hii weka semi zile wanazoziandika kwenye magari na wala si aina ya gari au watengeneza body kama vile Scania, Leyland au Marcopolo,Binbross.
Nafikiri hapo nitakuwa nimeeleweka. Tuendeleee!