nelly nely
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 665
- 229
hahahaaaaaUzee mwisho chalinze...Dar wote ni baby...
Jamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini..
1. Majungu mliyo yapika sasa mtayapakua...
2. Nenda kaseme tena..
3. Gusa unate..
4. Flag ya chuma..
5. Masikini hafilisiki..
hahahahaaahahaa, mmenifurahisha sana, nimeipenda ya kama fedha ni mapenzi, kaolewe na benki" yaani hapo jamaa kamind demu anamzingua.kuna hz hapa songea "Beki kukaba; akisoma atasumbua, hapa kazi tu, unga robo, inyeshe tuheshimiane,
Mzee unalog off mara ngapi kwa siku?