Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeua kabisaNdipo makada wakajipiga vifua na kugalagala kwenye mavumbi kama chatu huku wakisema, "ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5-13
Hahahahahahahahahaaaaaaaa JFNaye mmoja wa makuhani aitwaye mwijage akalia na kugaragara akisema, mniepushe na kikombe hiki, nina familia inanitegemea na kazi yangu ninaipenda... Akiomboleza kuikwepa hasira ya sizonje Viwonder 3:7-9
Mmmh"Basi Neema Ikaja Katika Nchi Ile Ndipo Vichwa Vya Treni Vikashushwa kando Ya Bahari, Maana Reli Ilikuwa Inajengwa Wakuu Na Watu Wake Wa Nchi Ile Wakastaajabu Wakisema Haleluya Haleluya Bwana Ametubariki." Tanganyika 5:42-44
Wana wa Lumumba wakamuendea Nabii Gwajima na Kumuuliza.... Kwa nini unamshambulia mwana wa Sizonje kuhusu vyeti vyake. Nabii akawajibu "Mpumbavu anayejaribu kuficha neno lolote atasikia uchungu kama mama anayejifungua kama vile mshale unavyopenya pajani ndivyo ilivyo neno ndani yake mpumbavu" Yoshua Bin SIRA 19:11-12Mi nadhani ndugu zangu ifikie hatua tukue kifikra. Tunapaswa tuendeshe mijadala yenye tija kuhusu vichwa vya treni itakayomsaidia Rais wetu JPM na sio mizaha na kejeli za kipuuzi.
Hakika ndiye...Huyu ni mmoja wao kati ya wale waliogalagala kwenye mavumbi kama chatu
Hili neno kama nimelisoma kwenye kitabu cha MAMBO YA MAKADA 3:2-3LUMUMBA fc WANACHUNGULIA UZI KWA MBAAAAALI
Chai MaharageWana wa Lumumba wakamuendea Nabii Gwajima na Kumuuliza.... Kwa nini unamshambulia mwana wa Sizonje kuhusu vyeti vyake. Nabii akawajibu "Mpumbavu anayejaribu kuficha neno lolote atasikia uchungu kama mama anayejifungua kama vile mshale unavyopenya pajani ndivyo ilivyo neno ndani yake mpumbavu" Yoshua Bin SIRA 19:11-12