Noelnjaidi
New Member
- Jul 5, 2017
- 2
- 1
Duu hii Kali
Na foleni imeshaanza roadKweli usiku mfupi
Toka saa hio hujafika uendako?Na foleni imeshaanza road
Heee niendako ntafika moja unusu au saa 2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Toka saa hio hujafika uendako?
Mhhh. I gess utakuwa unaishi kwakoHeee niendako ntafika moja unusu au saa 2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napanda daladala nne
[emoji23] [emoji23]Amini nawaambieni mengi yametokea, utumbuzi wa majipu,vyeti feki, makinikia lakini hili la vichwa vya Treni havitapita hivi hivi.
Hapa Kazi tu 6: 7- 17.
"Basi Neema Ikaja Katika Nchi Ile Ndipo Vichwa Vya Treni Vikashushwa kando Ya Bahari, Maana Reli Ilikuwa Inajengwa Wakuu Na Watu Wake Wa Nchi Ile Wakastaajabu Wakisema Haleluya Haleluya Bwana Ametubariki." Tanganyika 5:42-44
Nao wakavitwaa vichwa vile vya treni huku wakipaza sauti zao na kusema "hakika SIZONJE" ametenda makuu
Tanzagiza 3:6-7
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi Hata usiku bangi inavutwa?
Ndipo makada wakajipiga vifua na kugalagala kwenye mavumbi kama chatu huku wakisema, "ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5 : 13
[emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na kwa jinsi gadhabu ya Bwana,SIZONJE ilivyo waangukia wana wa DANGANYIKA......wakaambizana ole wake atakaye vikubali na kuvitwaa VICHWA HIVYO.....Hatusomeshi Wazazi-7:28-31
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Ndipo makada wakajipiga vifua na kugalagala kwenye mavumbi kama chatu huku wakisema, "ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5 : 13
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nao wakavitwaa vichwa vile vya treni huku wakipaza sauti zao na kusema "hakika SIZONJE" ametenda makuu
Tanzagiza 3:6-7
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahahaaa
Kwa maana bwana hamtupi mjae, watu wa nchi ile walishukuru kupokea zawadi ya vichwa vile vya treni Kwa kusema
Bwana umwema mno
Lakin mfalme Wa nchi alikosa majibu ya neema hizi Kwan aliona hakufanya LA maana katika nchi yake mpaka kustahili zawad hii
Hii ilitokana na yeye kukosa maelewana na muumbaji Wa vichwa pamoja na watumishi wake
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji25] [emoji25] [emoji61] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ndipo makada wakajipiga vifua na kugalagala kwenye mavumbi kama chatu huku wakisema, "ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5 : 13