Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

"Basi Neema Ikaja Katika Nchi Ile Ndipo Vichwa Vya Treni Vikashushwa kando Ya Bahari, Maana Reli Ilikuwa Inajengwa Wakuu Na Watu Wake Wa Nchi Ile Wakastaajabu Wakisema Haleluya Haleluya Bwana Ametubariki." Tanganyika 5:42-44
cc: lizaboni
cc: tetty
cc:rutashobolwa
 
Hahahahahaaa
Daudi mwana Wa zisonje alikua amelala hakujua ujio Wa vichwa ,hata baba yake aliyemtwika madaraka bila kuangalia ukubwa Wa kichwa chake alistaajab kuona vichwa hivi vilivyosawir katika badari Salama mbele ya milango Wa bashite
Akapaza sauti kuuliza vichwa hivi ni vya nani ?
Hata sauti ilyosikika ikitokea nyikani isiyojulikana ikasema
Mzee wewe ni mkuu iweje unatafuta kiki hadi katika vichwa vya treni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…