kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Asubuhi yangu imekuwa murua sana hahahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nikirudia kusoma naishia kucheka tu, mkuu daud umeniuaNdipo makada wakajipiga vifua na kugalagala kwenye mavumbi kama chatu huku wakisema, "ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5-13
Hahahaha ha ha ha uuuuuwiiiiNao wakavitwaa vichwa vile vya treni huku wakipaza sauti zao na kusema "hakika SIZONJE" ametenda makuu
Tanzagiza 3:6-7
Kiukweli yasemwayo yanaashiria kinachotokeaKuna watu wapo genius kinoma!
Wewe hua unavuta saa ngapi Mkuu??Hivi Hata usiku bangi inavutwa?
mambo makubwa ila yamefichika sana kwa ubunifu huu ndio utagundua tz kila idara wanatumia akili zao kupiga hela from B-TPMna akili yani kuna matusi hapo sema yapo kisilencer huwezi mshtaki mtu
Hahahaha niwie radhi mkuu sijawahi vutaWewe hua unavuta saa ngapi Mkuu??
Mstari na kitabu umesahau mjombaNdipo mfalme mtukufu wa makinikia akaviuliza vichwa vya treni, Nyie ni yatima au mna wazazi?
Ujumbe unapenya vilivyoMtu anapata wapi akili ya kukaa na kuandika hayo maneno, nimecheka sana ama kweli kuna watu wanafikiria sana
Uzuri ujumbe umetumwa
cc: lizaboni"Basi Neema Ikaja Katika Nchi Ile Ndipo Vichwa Vya Treni Vikashushwa kando Ya Bahari, Maana Reli Ilikuwa Inajengwa Wakuu Na Watu Wake Wa Nchi Ile Wakastaajabu Wakisema Haleluya Haleluya Bwana Ametubariki." Tanganyika 5:42-44
Kwahiyo ndo kusema ile sheria ya marope haiapulai hapaMna akili yani kuna matusi hapo sema yapo kisilencer huwezi mshtaki mtu