Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

Hahahahah
 
Ndipo Sizonje akatuma watu wake hadi ufalme wa Uhabeshi na ufalme wa Cargame kwani alikuwa amesikia wafalme hao wamedumu madarakani muda mrefu bila misukosuko naye aliwapenda wafalme hao.

Mojawapo ya wajumbe toka ufalme wa Cargame alimletea salaam za kumtia moyo na mbinu mpya za kuwanyamazisha wale wote wanaodhubutu kuhoji mamlaka yake kwa kuwatumia DCs na RCs. "Mimi ndiye Raisi wa Tanzania 17:8-12"
 
Hahaha dah
 
Ndipo wapambe wake wakamuuliza bwana mkubwa wananchi wanaulizana wewe ndiwe ulitabiriwa na baba wa taifa ama tumgonje mwingine?
Akawajibu " Nendeni muwaambie mliyoyaona na kuyasikia, Malinzi yupo ndani, Manji kasota lumande, Singasinga na Ruge wameshazoea Segerea, hakika nawaambieni halitasalia fisadi hata moja juu ya nji hii.

MAJIPU 1:7-9
 
Mmoja wa wapinzani akapaaza sauti akisema eeeeee Sizonje usinisahau ktk ufalme wako.

Naye Sizonje akamjibu amini nakuambia kuanzia sasa Parole itakuwa mikononi mwaki.
KUJIPENDEKEZA 1:1
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haha
 
Mi nadhani ndugu zangu ifikie hatua tukue kifikra. Tunapaswa tuendeshe mijadala yenye tija kuhusu vichwa vya treni itakayomsaidia Rais wetu JPM na sio mizaha na kejeli za kipuuzi.
"Na hata Sizonje alipotafuta kiki, kwa kuwaona wana wa nchi ile ni wapumbavu, basi wao wakaonyesha werevu wao, na kuufunua upumbavu ulio juu yake na makuhani wake" Mwafaa 7-6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…