maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,537
- 1,360
I feel sorry for you too. Ungekuwa huku ungeelewa kwa nini wanaact vile. Ni maisha yetu ya ki-bongobongo yalivyo.
Mfano, chukulia mkaazi typically wa Tandale anunue gazeti la Daily News, si itakuwa kituko? Kule nenda kauze kiu, ijumaa, uwazi ndo litatoka. Kumbuka nimesema mkaazi typical wa Tandale.
Sisimizi haarishi