Misemo ya Mpoki jamani!


mwambie huyo, hajui kua treni haiingii sheli?, au radio call haiingizwi vocha? Ulaya na bongo wapi na wapi
 
Mtoto kua wa kwanza darasani sio dili,dili ni wastani wa alama alizopata.
 
Mipaka ya nchi hailindwi kwa kuzungushia miba
 
unasoma wap?.. Chuo kikuu! Course gan? Vita!
 
wapendwa....hata Mpoki kasema..
"Ukiona panya kakatisha sebuleni ujue anataka kujulikana."

huyo mwenzetu anayedai yupo Ulaya alikuwa anataka ajulikane,tushamjua,na maoni yake tushayasikia,sasa namuomba apeleke malalamishi yake kwenye website ya Ze Orijino Komedi ili yashughulikiwe na sio kuanza kujibizana na watu hapa,haileti maana na si vizuri...na hakika nyoote humu mna hekima,basi tutumia akili zetu na si midomo tu...kumbukeni...

Before you open your mouth, make sure you have a mind to back up all the things you say.
 
Hata kichwa kiwe kikubwa vipi nywele hazijai karai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…