Eng Kahigwa
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 783
- 631
Vipi TANESCO wamekuita kwenye usaili?Zimedelay mnoo ndugu, zikija kutoka ushindani unazidi maradufu ukizingatia kuna freshers waliomaliza karbuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi TANESCO wamekuita kwenye usaili?Zimedelay mnoo ndugu, zikija kutoka ushindani unazidi maradufu ukizingatia kuna freshers waliomaliza karbuni
Hapana last tym sikuomba mkuuVipi TANESCO wamekuita kwenye usaili?
Ok. Sawasawa.Hapana last tym sikuomba mkuu
Lakini cha ajabu ni kwamba ili wewe uliejiajiri uweze kupata faida unahitaji waajiriwa walipwe mshahara ili waje kununua huduma au bidhaa unayoiuza...hahahahaMkitaja Hiyo Mishahara ya milioni 1+ wala sio mikubwa! Mimi Nataka nijiajiri tu niwaachie nyie hii kitu inaitwa 'mshahara '
😂😂😂Mfagiaji anamfunika adi Waziri mkuu
Jamani Tanesco wako poa sana hasa wale wanaofanya kazi kwenye plants kama kidatu, MTERA , hare n.k, pia kila baada ya miaka 10 mtumishi anapewa cement kwa ajili ya ujenz mifuko kibao tu au unapewa thamana ya pesa , tena baada ya kutimiza hiyo kumi ....Kitano ijayo unapewa zawadi kubwa tu au kiasi cha pesa sio chini ya milioni 5 .....hii ya miaka 5 inakuwa mwendelezo Hadi unapostaafu.Siko TANESCO bhana ila nimfatiliaji mzuri tu.
Ok. Sawasawa.
Hiyo sina uhakika na mshahara wake, ila ninachojua kuwa inategemea na chuo unachoenda kufundisha kutokana na salary scale wanazoplan wao.Jamani Mimi nataka kujua mshahara wa assistant lecture?? Basic gross ngapi na take omu unabaki. Ngapi
Nawazee wa Sub/Transmission jamaa wanakula Safari kama hawana akili nzuri naskia.Jamani Tanesco wako poa sana hasa wale wanaofanya kazi kwenye plants kama kidatu, MTERA , hare n.k, pia kila baada ya miaka 10 mtumishi anapewa cement kwa ajili ya ujenz mifuko kibao tu au unapewa thamana ya pesa , tena baada ya kutimiza hiyo kumi ....Kitano ijayo unapewa zawadi kubwa tu au kiasi cha pesa sio chini ya milioni 5 .....hii ya miaka 5 inakuwa mwendelezo Hadi unapostaafu.
Tanroads scale salary.hizi zinakua na maana gan yaKwenye mada hii kuna chumvi nyingi sana; ukipata kazi ya kudumu kwa hizi taasisi sehemu sahihi na penye tulizo ya afya ni EWURA; ROADFUND; CAG OFFICE na kidogo TANROAD..huko sijui TANESCO sijui TPA ni kujazana tu stori za kijiweni. Nilishazunguka huko.kote kwa hizo stori nikajikuta nqbaki kushangaa tu maneno ya watu.
Tanroads unakuta kuna 1.7, 2.1 inamaana gan hii wakuuNasikia tpa degree ni 1.3M Kama ni kweli Hiyo sio hela ya 'kutisha '
Hiki kitu gani mkurugenziVip Tanzania Aport Authority?
Ulaji huuTBS wako vizuri zaidi ya TPA
Ulimaanisha Mpwayungu Village ???
Huyo huyoUlimaanisha Mpwayungu Village ???
Huyo huyo