Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
- Thread starter
- #21
Wapo wenye madeni na wasio na madeni, pia wenye madeni itawasaidia kukopesheka Tena pindi watapomaliza madeni yao kwa mkupuo, wasio na madeni wataendelea kuboresha vyanzo vya kuwaongezea kipatoMtumishi gani anaweza kusubiri siku 90, Ndipo apokee mshahara wake ? Kama wapo ni wachache sana.akiupokea huo mshahara siku chache mbelenj hana ata mia maana madeni kibao mtaani.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app