Mishahara ilipwe kwa mkupuo wa miezi mitatu mitatu

Mishahara ilipwe kwa mkupuo wa miezi mitatu mitatu

Habari wanajamvi, Binafsi niliwaza na kuwazua ni jinsi gani mishahara inaweza kuwa na uzito kwa mfanyakazi,

Majibu niliyopata ni kwamba ifike hatua serikali ipitishe sheria ya kulipa mishahara kwa awamu moja ndani ya miezi mitatu mitatu,
Kwa mfano unalipwa Take home ya milioni 1
January ml 1
February ml 1
March ml 1
Hivyo mshahara wa March unaingia full digits milioni 3.

Hii ni njia Bora ya kuwasaidia wenye kipato kidogo cha mishahara kuweza kufanya mambo ya akiba kwa wepesi.

Ahsanteni na karibuni katika mjadala.
Badala ungesema watu walipwe kila wiki wewe unasema miezi mitatu. Kwani wewe huwezi kuweka akiba hadi serikali ikusaidie. Napinga hoja.

Au fanya hivi usiwe unatoa mshahara wako ikifika miezi mitatu nenda katoe kwa mkupuo.
 
Badala ungesema watu walipwe kila wiki wewe unasema miezi mitatu. Kwani wewe huwezi kuweka akiba hadi serikali ikusaidie. Napinga hoja.

Au fanya hivi usiwe unatoa mshahara wako ikifika miezi mitatu nenda katoe kwa mkupuo.
Hilo kweli asiende kutoa miezi 3
 
Habari wanajamvi, Binafsi niliwaza na kuwazua ni jinsi gani mishahara inaweza kuwa na uzito kwa mfanyakazi,

Majibu niliyopata ni kwamba ifike hatua serikali ipitishe sheria ya kulipa mishahara kwa awamu moja ndani ya miezi mitatu mitatu,
Kwa mfano unalipwa Take home ya milioni 1
January ml 1
February ml 1
March ml 1
Hivyo mshahara wa March unaingia full digits milioni 3.

Hii ni njia Bora ya kuwasaidia wenye kipato kidogo cha mishahara kuweza kufanya mambo ya akiba kwa wepesi.

Ahsanteni na karibuni katika mjadala.

Mshahara wako wa mwezi hurokana na makusanyo ya fedha by TRA na vyanzo vingine kwa mwezi huo! Sasa sijui hizo hela unazotaka ulipwe kwa mkupuo wa miezi mitatu serikali inazitoa wapi! Labda ikulipe hiyo miezi mitatu ukishakuwa umefanya kazi siku 90 kwa maana kuwa kila mwezi unaostahili kulipwa serikali ikuwekee! Kaongee na mabenki yakuhifadhie fedha zako kama Fixed Deposit ya siku tisini-tisini! Milioni moja net kwa mwezi kwa maisha ya Kitanzania inakutosha kabisa kwani kaa wiki unalipwa karibu 250,000/-,sasa kama hizo hazikutoshi kwa wiki basi ingia barabarani fanya kazi za kuchimba mitaro!
 
Mshahara wako wa mwezi hurokana na makusanyo ya fedha by TRA na vyanzo vingine kwa mwezi huo! Sasa sijui hizo hela unazotaka ulipwe kwa mkupuo wa miezi mitatu serikali inazitoa wapi! Labda ikulipe hiyo miezi mitatu ukishakuwa umefanya kazi siku 90 kwa maana kuwa kila mwezi unaostahili kulipwa serikali ikuwekee! Kaongee na mabenki yakuhifadhie fedha zako kama Fixed Deposit ya siku tisini-tisini! Milioni moja net kwa mwezi kwa maisha ya Kitanzania inakutosha kabisa kwani kaa wiki unalipwa karibu 250,000/-,sasa kama hizo hazikutoshi kwa wiki basi ingia barabarani fanya kazi za kuchimba mitaro!
Ukisimama kukimbia, Soma Tena nilichoandika ndio ujibu
 
Bongo bana mbelez wanalipa kwa saa, kwa wiki ..... In lemtuz voice

Wewe unataka kwa 3 month.....
 
Bongo bana mbelez wanalipa kwa saa, kwa wiki ..... In lemtuz voice

Wewe unataka kwa 3 month.....
Huko ng'ambo wanalipwa mizigo ya hela, hapa ukilipwa kwa wiki Kuna wataoambulia 40,000/= Tu
Wakati huo ulipopatolea mfano mtu kwa wiki anapokea dollar 100 kima cha chini
 
Ni wazo zuri sana Kama tusingekuwa na mfumo wa kukaa kazini mpk muda wa ku-sign out

Yaan iwe mtu akimaliza majukumu yake asepe kwenye mishe zake ingekuwa vema..

Mwalimu mwenye kipindi kimoja kukaa mpk saa 9 Ni wastage of time.Kwann asibaki on duty tu wengine wakapige kazi mashamban na sokoni.???
 
Ni wazo zuri sana Kama tusingekuwa na mfumo wa kukaa kazini mpk muda wa ku-sign out

Yaan iwe mtu akimaliza majukumu yake asepe kwenye mishe zake ingekuwa vema..

Mwalimu mwenye kipindi kimoja kukaa mpk saa 9 Ni wastage of time.Kwann asibaki on duty tu wengine wakapige kazi mashamban na sokoni.???
Na mwenye kipindi saa sita? Aingie kazini muda huo?
 
Ndio kuna mwenzangu hapa ananambia yeye (akishapata kazi) chap anaomba mkopo wa mil 45 dah nikajisemea huyu si anataka kuwa mtumwa wa mkopo milele ila nilitaka kumuambia ila ni mbishi saaana nikamuacha.
Hiyo kazi atalipwa shilingi ngapi hata apate mkopo wote huo!
 
Back
Top Bottom