Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Edobeny

Senior Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
143
Reaction score
29
Ningependa kujua tu Jeshini JWTZ kati ya Luteni mwenye (nyota moja) labda mwenye miaka miwili tangia aanze kazi na yule askari mwenye saa mkononi na kirungu sijui cheo chake kinaitwaje mara nyingi huwa ni watu wazima wenye miaka mingi kazini nani ana mshahara mkubwa?

Sasa je, mishahara ya Jeshi inaangalia umri wa kazi au cheo cha Askari? Karibuni kwa ufafanuzi
 
umeitiwa ajira jeshini mkuu? ngoja waje wakufafanulie
 
Ningependa kujua tu jeshini JWTZ kati ya Luteni usu(nyota moja) labda mwenye miaka miwili tangia aanze kazi na Yule askari mwenye saa mkononi na kirungu sijui cheo chake kinaitwaje mara nyingi huwa ni watu wazima wenye miaka mingi kazini nani ana mshahara mkubwa? Je mishahara ya jeshi inaangalia umri wa kazi au cheo cha askari?
Karibuni kwa ufafanuzi

Huyo Unayemdai Unadhani Akiuona Uzi Huu Atakulipa Mkuu? Ndiyo Umeshajipalia Mkaa. Hao Jamaa Huwa Hawakopesheki Na Ni Watata!
 
unaangalia mshahara au kazi. hapa si mahala pake. siri zao hizo.
 
Najua mlikuwa mnabishana kati ya Luteni Usu na Warrant Officers nani ana mshahara mkubwa so umekuja kutafuta evidence humu

Mshahara ni siri
 
Nenda kambi ya jeshi yoyote iliyopo karibu nawe kaulize na ili upate jibu la uhakika nenda moja kwa moja hadi kwa mkuu wa kambi...huyo atakupa majibu sahihi kabisa unayohitaji na tena anaweza kukupa na nyongeza.
Ww manjeta hunitakii mema
 
Najua mlikuwa mnabishana kati ya Luteni Usu na Warrant Officers nani ana mshahara mkubwa so umekuja kutafuta evidence humu

Mshahara ni siri
Huyo mwenye saa na kirungu sio warrant officer cheo chake nimesahau
 
Ningependa kujua tu jeshini JWTZ kati ya Luteni usu(nyota moja) labda mwenye miaka miwili tangia aanze kazi na Yule askari mwenye saa mkononi na kirungu sijui cheo chake kinaitwaje mara nyingi huwa ni watu wazima wenye miaka mingi kazini nani ana mshahara mkubwa? Je mishahara ya jeshi inaangalia umri wa kazi au cheo cha askari?
Karibuni kwa ufafanuzi

Yule mwenye lisaa(korokoro) anaitwa Mteule wapo wa aina 2 daraja la kwanza na daraja la pili mshahara wao ni mkubwa kuliko huyo luten usu.
 
Huyo mwenye saa na kirungu sio warrant officer cheo chake nimesahau

Kweli umesahau maana unakosoa ukweli na umesahau uongo uliotaka kuandika.WO1 na WOII ndio kifupi cha afisa mteule daraja la kwanza na daraja la pili.
 
Hakuna mwenye uwezo wa kuajiri wanajeshi dunia hii kijana,unaweza calculate value ya uhai wa mtu? kuwa mwanajeshi ni kurisk maisha.so kwa uelewa wangu kuhusu jeshini hawana mshahara wanaposho tuu ndio maana naskia ata hawaajiriwi..labda nenda upanga pale makao makuu yao kaulizie posho yao sh. ngapi sie ata atujui.
 
kama siyo siri umeuliza nini sasa, ina maana unajua
 
Back
Top Bottom