Gorilla Zoo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 257
- 412
Hahahaa wabongo bana eti kua mjeshi ni ku risk maisha mara ooh jeshini hakuna mshahara such a joke of a century
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa haupe seriousNenda kambi ya jeshi yoyote iliyopo karibu nawe kaulize na ili upate jibu la uhakika nenda moja kwa moja hadi kwa mkuu wa kambi...huyo atakupa majibu sahihi kabisa unayohitaji na tena anaweza kukupa na nyongeza.
mkuu asante sanaaaa
hizi details ziliniumiza sana kichwa.
labda kuna manyongeza sasa..
[emoji38] [emoji38] [emoji38] we jamaa mchokonozi, ngoja waje waione.Private alipwe laki tisa then bado afanye biashara ya kuuza madaftari kwa kuruta
Yote hiyo ni kuongeza kipato chake, kwani ukiwa na mshahara unakatazwa kufanya Biashara? Hiyo ilikuwa enzi za nyerere tu.Private alipwe laki tisa then bado afanye biashara ya kuuza madaftari kwa kuruta
OkNenda pale ngome kaulize maswali yako utajibiwa tena kwa mfano hai...
Private alipwe laki tisa then bado afanye biashara ya kuuza madaftari kwa kuruta
Uko sawa kabisa na unaweza kuta wote ni makanali ila sasa kati hayo watatu alikuwa wakwanza kupewa cheo hicho ndio boss na ndie ataepigiwa saluti na wenzake japo vyeo wanafananaHapana mkuu umeingia chaka, jeshi lina scale zao kwa ilivyo kwa walimu. Arrangement za scale ime-base kwenye
1: elimu
2: rank
3: proffesion
4: uzoefu
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitaweza ku-display hizo scale hapa ila unaweza kukuta wanajeshi let say wa3 na wote ni ma-colonel lakini wanapishana mishahara.