Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Acheni kuzungumzia masuala msiyoyajua, mwenye kutaka kujua mshahara wa wanajeshi aingie ndani makambi akaone hiyo mirisasi na mibomu ya mbagala ndo usaminishe wanacholipya.
 
Acheni kuzungumzia masuala msiyoyajua, mwenye kutaka kujua mshahara wa wanajeshi aingie ndani makambi akaone hiyo mirisasi na mibomu ya mbagala ndo usaminishe wanacholipya.

Hahahahah... Kwani kila muda risasi na mabomu vinatumika?

Amara za kazi gani sasa..
 
Mishahara inafatana na vyeo na pia miaka kwenye cheo chako mfano mtu alie kaa kweye ukapteni miaka mtano atakuwa na mshahara Zaidi kuliko yule wa mwaka mmoja
 
Mishahara inafatana na vyeo na pia miaka kwenye cheo chako mfano mtu alie kaa kweye ukapteni miaka mtano atakuwa na mshahara Zaidi kuliko yule wa mwaka mmoja

Na je, Afisa Mteule Daraja la pili (miaka mitano ya uzoefu ktk Cheo) na Luteni (miaka mitatu ya uzoefu kazini) nani anavuta parefu!?
 
Nawashangaa woteliojadili mada daima utamu wa ngoma ingia uicheze yotenayojadili sijaona mantiki yake wewe mwalimu au daktari fundi magari atake kujua mshahara wake unamhusu?
 
hivi tanesco mishahara yao ipoje hasa kwa kuanzia mwenye certificates hadi phd holder
 
Hahahahah... Kwani kila muda risasi na mabomu vinatumika?

Amara za kazi gani sasa..

Sasa porojo hizi alieanzisha uzi amefikiria nini mpaka kufikia kupotosha watu jibu rahisi amuulize huyo huyo dem wake alie askari au afatilie na yeye aingie kwenye mchakato.
 
Sasa porojo hizi alieanzisha uzi amefikiria nini mpaka kufikia kupotosha watu jibu rahisi amuulize huyo huyo dem wake alie askari au afatilie na yeye aingie kwenye mchakato.

Wengi Wanatamani... Ila wachache wataingia chomboni.
 
Jeshini huwa wanaangalia kitu kimoja mkuu.
1. Kama cheo kipo juu kuliko elimu wanakulipa kwa cheo.

2. Kama elimu ipo juu kuliko cheo wanakulipa kwa elimu.

Kwa kifupi idara nyingi za serikali yakiwemo majeshi, walimu na wengineo huwa wanalipwakwa elimu lqkn majeshin unaweza kuwa na elimu ambayo iko chini ya cheo ni lazma watakulipa kwa cheo.

MFANO.
Sajent ana degree1 lazma atalipwa kwa elimu maana degree inamshahara mkubwa kuliko cheo chake.

Kuhusu kukaa kazin kwa muda mrefu ile huwa ni ongezeko tu la kila mwaka ambalo huwa linagota.
Kama mshahara ni laki2 nyote wenye cheo ama elimu hiyo mtapata sawa lakn yule alieko kazin muda mrefu kunaongezeko fulan kwake japosio kubwa kivile.

Hapo umenisoma mkuu.
 
Yule mwenye lisaa(korokoro) anaitwa Mteule wapo wa aina 2 daraja la kwanza na daraja la pili mshahara wao ni mkubwa kuliko huyo luten usu.

Hata kama wamepata vyeo hivyo siku moja? Sidhani.

Principle ni ile ile. Mwenye cheo kikubwa anapata zaidi. Mwenye muda mrefu zaidi kwenye cheo anapata zaidi.

Upo uwezekano wa Warrant Officer mkongwe kupata mshahara mkubwa kuliko 2nd Lieutenant anayeanza kazi. Hili si jeshini tu. Mwishowe, kadri 2nd anavyopanda vyeo, atakuja kumpita Warrant Officer.
 
Kudanganyana sio vizuri, Unapaswa uongee kitu unachokijua na sio "Kubuni" tu.

Jeshi sio kiwanda cha Mkonge.
 
Mishahara inafatana na vyeo na pia miaka kwenye cheo chako mfano mtu alie kaa kweye ukapteni miaka mtano atakuwa na mshahara Zaidi kuliko yule wa mwaka mmoja

Yap upo sawa kabisa .

Ukiacha hilo LA mshahara hata kwa mambo ya salute na heshima .

Mfano JUMA ni kapteni miaka 5 na john ni kapteni mwaka 2 sasa hapo JUMA bado atakuwa mkubwa kwa john pamoja na kwamba wanavyeo sawa but John lazima apige salute kea JUMA.

Wa kwanza kuingia kabla yako jeshi ni mkubwa kwako .

Wa kwanza kipandishwa cheo ni mkubwa kwako.

Jeshi tamu jamani.
 
Hawa wasikuumize kichwa bana,mishahara ya jeshi ni kama ifuatavyo:Jenerali mil 6 kwa mwezi nje ya marupurupu.Brigedia Jenerali mil 5 kwa mwezi nje ya marupurupu.Luteni usu mil 4 kwa mwezi nje ya marupurupu.Commando mil 2.5 kwa mwezi.Private laki 9.5 kwa mwezi na bia bure kambini.Mkuu wa majeshi mil 15 kwa mwezi nje ya marupurupu na ofa kibao za kufa mtu.wanalipwa hivyo ili wasipindue nchi,nadhani sasa umeelewa.
mkuu asante sanaaaa
hizi details ziliniumiza sana kichwa.
labda kuna manyongeza sasa..
 
Yap upo sawa kabisa .

Ukiacha hilo LA mshahara hata kwa mambo ya salute na heshima .

Mfano JUMA ni kapteni miaka 5 na john ni kapteni mwaka 2 sasa hapo JUMA bado atakuwa mkubwa kwa john pamoja na kwamba wanavyeo sawa but John lazima apige salute kea JUMA.

Wa kwanza kuingia kabla yako jeshi ni mkubwa kwako .

Wa kwanza kipandishwa cheo ni mkubwa kwako.

Jeshi tamu jamani.
Hiii ni complicat kidgo

Mfano mim nikawa oficer wa jeshi, nikapata nambq za kioficer, halafu akaja dogo akawa oficer, baada yangu, then akapata kozi akafaulu na kunizid cheo nita msalute.

Lakin ikatokea nikapata chance mbelen nikapiga kozi na kufaulu,tukawa na vyeo sawa ingawa yeye aliwahi kupanda cheo lakini after after miezi kadhaaa yeye atakuwa ana nisalute kwa sababu nimemzdi namba
 
Back
Top Bottom