Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,636
- 6,178
Huyo mwenye saa na kirungu sio warrant officer cheo chake nimesahau
Hujui kitu raia.!Mwenye saa anaitwa Warrant Officer na huwa wana madaraja mawili
Na hicho ndio top most rank kwa men..baada ya hapo wanaanza officers