Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

kuna waaovaa saa mkononi wanaitwa sir Meja....zipo saa za aina mbili saa ya kwanza inamwenge na saa ya pili inabibi na bwana.....huyu mwenye saa ya bibi na bwana ndio cheo cha mwisho kwa lever ya askari.....na hawa ndio huwa wakuu wa nidhamu katika kambi....wanamshara mkubwa kuliko hata Captain
 
Hawa wasikuumize kichwa bana,mishahara ya jeshi ni kama ifuatavyo:Jenerali mil 6 kwa mwezi nje ya marupurupu.Brigedia Jenerali mil 5 kwa mwezi nje ya marupurupu.Luteni usu mil 4 kwa mwezi nje ya marupurupu.Commando mil 2.5 kwa mwezi.Private laki 9.5 kwa mwezi na bia bure kambini.Mkuu wa majeshi mil 15 kwa mwezi nje ya marupurupu na ofa kibao za kufa mtu.wanalipwa hivyo ili wasipindue nchi,nadhani sasa umeelewa.
Khaa!! Hicho cheo hakipo jeshini bana :A S-baby:
 
Mimi binafsi sijui kwa kweli, ila ninachojua mimi mishahara ya wanajeshi huwa haichelewi, yaani serikali hata iishiwe vipi, lakini hela ya kuwalipa wanajeshi huwa haikosekani.
Hata ya wale wanaojiwakilisha kule bungeni nayo haichelewi
 
hapo hatuna mwanajeshi kabisa sijui atakuwa amekula maharage ya wapi, ninapojua mm mwanajeshi kuna mbinu wanasema "Sacrifice" tafuta mwenye elimu ya Jeshi umuulize usipende kuuliza mishahara tu
 
Nenda kambi ya jeshi yoyote iliyopo karibu nawe kaulize na ili upate jibu la uhakika nenda moja kwa moja hadi kwa mkuu wa kambi...huyo atakupa majibu sahihi kabisa unayohitaji na tena anaweza kukupa na nyongeza.

Naona Unamtanguliza Mwenzio Ktk Msitu Wa Wanyama Wakali!
 
Hawa wasikuumize kichwa bana,mishahara ya jeshi ni kama ifuatavyo:Jenerali mil 6 kwa mwezi nje ya marupurupu.Brigedia Jenerali mil 5 kwa mwezi nje ya marupurupu.Luteni usu mil 4 kwa mwezi nje ya marupurupu.Commando mil 2.5 kwa mwezi.Private laki 9.5 kwa mwezi na bia bure kambini.Mkuu wa majeshi mil 15 kwa mwezi nje ya marupurupu na ofa kibao za kufa mtu.wanalipwa hivyo ili wasipindue nchi,nadhani sasa umeelewa.

Cyber Crime Act 2015 Na Ile Ya Kutoa TAKWIMU Za Uwongo Zikikukosa Mkuu Sijui! Haya Ndiyo Matatizo Ya Kuamka Na MATAPUTAPU Kichwani.
 
Hapana mkuu umeingia chaka, jeshi lina scale zao kwa ilivyo kwa walimu. Arrangement za scale ime-base kwenye
1: elimu
2: rank
3: proffesion
4: uzoefu
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitaweza ku-display hizo scale hapa ila unaweza kukuta wanajeshi let say wa3 na wote ni ma-colonel lakini wanapishana mishahara.

Watu Wengine Mnapenda KIKI Za Kitoto! Hivi Ukisema Hicho Unachotaka Kutuambia Nani ATAKUJUA Humu JF? Kuna Njemba Humu JF Zina Kazi Za Maana Na Kubwa Lakini Ikifikia Wakati Wa Kuwaponda Wakubwa Wao au Kutoa Taarifa Zao Wanatoa Kwa Raha Zao Na Wala Hawakamatwi au Kujulikana Nina Mashaka Kama Kweli Wewe Ni Mjeda Na Ya Huko Huyajui Vizuri.
 
Kuna mamb mengine n vgumu kuyajadl, kujadl mshahara wa mjeda ni sawa na kuweka hadharani mapungufu ya mkeo wa zaman
 
Kweli umesahau maana unakosoa ukweli na umesahau uongo uliotaka kuandika.WO1 na WOII ndio kifupi cha afisa mteule daraja la kwanza na daraja la pili.

Wanaitwa warrant officers
 
kuna waaovaa saa mkononi wanaitwa sir Meja....zipo saa za aina mbili saa ya kwanza inamwenge na saa ya pili inabibi na bwana.....huyu mwenye saa ya bibi na bwana ndio cheo cha mwisho kwa lever ya askari.....na hawa ndio huwa wakuu wa nidhamu katika kambi....wanamshara mkubwa kuliko hata Captain
Nimekusoma mkuu ahsante kwa ufafanuzi mzuri maana nilikuwa napata shida kidogo ukiwaangalia luteni usu ni wadogo kiumri ila cheo kikubwa ukilinganisha ni hao sameja ambao wengi ni wazee kazini
 
Kuna mamb mengine n vgumu kuyajadl, kujadl mshahara wa mjeda ni sawa na kuweka hadharani mapungufu ya mkeo wa zaman
Sio kweli mbona mishahara inawekwa kwenye magazeti baada ya bunge la bajeti mwezi wa saba kila mtu anaiona.
 
Back
Top Bottom