Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Yule mwenye lisaa(korokoro) anaitwa Mteule wapo wa aina 2 daraja la kwanza na daraja la pili mshahara wao ni mkubwa kuliko huyo luten usu.
Hilo ndo jibu nililokuwa nalitaka sasa wengine wanazunguka tu. Kwa maana hiyo nyota sio kigezo cha kuwa na mshahara mkubwa?
 
kama siyo suri umeuliza nini sasa, ina maana unajua
 
Hawa wasikuumize kichwa bana,mishahara ya jeshi ni kama ifuatavyo:Jenerali mil 6 kwa mwezi nje ya marupurupu.Brigedia Jenerali mil 5 kwa mwezi nje ya marupurupu.Luteni usu mil 4 kwa mwezi nje ya marupurupu.Commando mil 2.5 kwa mwezi.Private laki 9.5 kwa mwezi na bia bure kambini.Mkuu wa majeshi mil 15 kwa mwezi nje ya marupurupu na ofa kibao za kufa mtu.wanalipwa hivyo ili wasipindue nchi,nadhani sasa umeelewa.
 
Kweli umesahau maana unakosoa ukweli na umesahau uongo uliotaka kuandika.WO1 na WOII ndio kifupi cha afisa mteule daraja la kwanza na daraja la pili.
Ahsante kwa ufafanuzi nilikuwa nachanganya na Sameja
 
Yule mwenye lisaa(korokoro) anaitwa Mteule wapo wa aina 2 daraja la kwanza na daraja la pili mshahara wao ni mkubwa kuliko huyo luten usu.

Umejuaje wewe acha umbea, mshahara ni siri ya mtu
 
Hawa wasikuumize kichwa bana,mishahara ya jeshi ni kama ifuatavyo:Jenerali mil 6 kwa mwezi nje ya marupurupu.Brigedia Jenerali mil 5 kwa mwezi nje ya marupurupu.Luteni usu mil 4 kwa mwezi nje ya marupurupu.Commando mil 2.5 kwa mwezi.Private laki 9.5 kwa mwezi na bia bure kambini.Mkuu wa majeshi mil 15 kwa mwezi nje ya marupurupu na ofa kibao za kufa mtu.wanalipwa hivyo ili wasipindue nchi,nadhani sasa umeelewa.

Hahahaaaaaaa, daaaaaa! Kweli humu JF kuna vichwa. Haya mleta mada ushajibiwa
 
Hivi kwa nini usiende kuulizia mishahara TRA, Bandari, BOT, Ikulu. Nenda kaulize huko kijana ndo wanaokula nchi hao
 
Umejuaje wewe acha umbea, mshahara ni siri ya mtu

Kama Luteni usu angemzidi Warrant Officer mshahara basi jeshi lisingekuwa fair na wangepaswa kurekebisha muundo wa mshahara jeshin iwe kama ofisi nyingine za serikali
 
Hawa wasikuumize kichwa bana,mishahara ya jeshi ni kama ifuatavyo:Jenerali mil 6 kwa mwezi nje ya marupurupu.Brigedia Jenerali mil 5 kwa mwezi nje ya marupurupu.Luteni usu mil 4 kwa mwezi nje ya marupurupu.Commando mil 2.5 kwa
mwezi.Private laki 9.5 kwa mwezi na bia bure kambini.Mkuu wa majeshi mil 15 kwa mwezi nje ya marupurupu na ofa kibao za kufa mtu.wanalipwa hivyo ili wasipindue nchi,nadhani sasa umeelewa.
Hahaha! Thanx for your time mkuu
 
Kweli umesahau maana unakosoa ukweli na umesahau uongo uliotaka kuandika.WO1 na WOII ndio kifupi cha afisa mteule daraja la kwanza na daraja la pili.
uko sahihi kabisa, Wote pamoja wanaitwa Sergeant Major lakin tumezoea mtaani kuwaita SirMajor
 
Hawa wasikuumize kichwa bana,mishahara ya jeshi ni kama ifuatavyo:Jenerali mil 6 kwa mwezi nje ya marupurupu.Brigedia Jenerali mil 5 kwa mwezi nje ya marupurupu.Luteni usu mil 4 kwa mwezi nje ya marupurupu.Commando mil 2.5 kwa mwezi.Private laki 9.5 kwa mwezi na bia bure kambini.Mkuu wa majeshi mil 15 kwa mwezi nje ya marupurupu na ofa kibao za kufa mtu.wanalipwa hivyo ili wasipindue nchi,nadhani sasa umeelewa.

Hapana mkuu umeingia chaka, jeshi lina scale zao kwa ilivyo kwa walimu. Arrangement za scale ime-base kwenye
1: elimu
2: rank
3: proffesion
4: uzoefu
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitaweza ku-display hizo scale hapa ila unaweza kukuta wanajeshi let say wa3 na wote ni ma-colonel lakini wanapishana mishahara.
 
Ningependa kujua tu jeshini JWTZ kati ya Luteni usu(nyota moja) labda mwenye miaka miwili tangia aanze kazi na Yule askari mwenye saa mkononi na kirungu sijui cheo chake kinaitwaje mara nyingi huwa ni watu wazima wenye miaka mingi kazini nani ana mshahara mkubwa? Je mishahara ya jeshi inaangalia umri wa kazi au cheo cha askari?
Karibuni kwa ufafanuzi

Popote pale, mishahara huendana na cheo pamoja na muda wa utumishi isipokuwa km n mkuu wa kitengo ambacho kına mshahara.Mf unaweza kuwa msemaji wa jeshi ukiwa na cheo cha Meja,mshahara utakuwa mkubwa kuliko Meja wengne ambao mmeanza wote kazi.
 
Hakuna mwenye uwezo wa kuajiri wanajeshi dunia hii kijana,unaweza calculate value ya uhai wa mtu? kuwa mwanajeshi ni kurisk maisha.so kwa uelewa wangu kuhusu jeshini hawana mshahara wanaposho tuu ndio maana naskia ata hawaajiriwi..labda nenda upanga pale makao makuu yao kaulizie posho yao sh. ngapi sie ata atujui.

Wewe una uelewa mdogo wa mambo!Unaweza fananisha risk aliyonayo mwanajeshi wa Tanzani na polisi kwa mfano?Au mwanajeshi na wazamiaji migodini?Au wataalam kwenye nuclear plants?Au Dr anayetibu wagonjwa hasa ikitokea miripuko kama Ebola?
 
kama siyo siri umeuliza nini sasa, ina maana unajua

Huyu bwana hajauliza mshahara taslımu bali anataka kujua nanı mshahara mkubwa kuliko mwingne.Bado mshahara kwa cheo sio siri isipokuwa wa mtu mmojammnja.Binafsi sijui eneo hlo alilouliza ila kama kuna anayejua basi atapewa data,hapa Jf kila kitu kipo.
 
Back
Top Bottom