Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Marufuku


No offense kuwa mwanajeshi si mchezo....

Masela wanakuwa multi disciplines balaaaaa.......

Kweli jamani.... mie nipo nje but napenda heshimu uwepo wao....


Oss oss
 

Attachments

  • 1449803715698.jpg
    1449803715698.jpg
    35.7 KB · Views: 1,146
uko sahihi kabisa, Wote pamoja wanaitwa Sergeant Major lakin tumezoea mtaani kuwaita SirMajor

Sergeant major na warant officer WOI ama WOII ni vyeo viwili tofauti huyo "sa maja" cheo chake anakuwa na V tatu na ngao ya bibi na bwana ila mwenye WOI ama WOII huvaa cheo kinachofanania na saa.
 
Nimekusoma mkuu ahsante kwa ufafanuzi mzuri maana nilikuwa napata shida kidogo ukiwaangalia luteni usu ni wadogo kiumri ila cheo kikubwa ukilinganisha ni hao sameja ambao wengi ni wazee kazini

Na kwa kuongeza yule akipanda cheo anaenda moja kwa moja kuwa major kwa iyo lazima anamzidi sana luteni usu
 
Unazungumza usichokifahamu, Major Ni Cheo juu ya Capt na chini ya Luteni Kanali.

Wakati hao ma SirMajor Ni vyeo vya askari sio Maofisa

Nashukuru kwa kusema sikifahamu ninachoongea ingawa hakuelewa nilichosema .....fanya homework yako sirmajor akipandishwa cheo anakuwa anapewa rank ipi? Kama sirmajor ni cheo cha juu cha wapiganaji so hawezi panda zaidi ya hapo? Ni wote huishia hapo?
 
Wenye mishahara ni polisi na mgambo.askari mshahara ni bunduki na risasi frontline.

Atteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeention
 
Nashukuru kwa kusema sikifahamu ninachoongea ingawa hakuelewa nilichosema .....fanya homework yako sirmajor akipandishwa cheo anakuwa anapewa rank ipi? Kama sirmajor ni cheo cha juu cha wapiganaji so hawezi panda zaidi ya hapo? Ni wote huishia hapo?

Nikumegee kidogooo kwa faida ya raia wote.

Kuna cheo na nyadhifa.. (Japo sijui kiswahili kama kiko sawa).

Jeshini HAKUNA rank ya SirMajor, hiyo Ni nyadhifa.. SirMajor Ni askari ambaye Mara nyingi hupewa nafasi ya kuongoza askari ktk kundi section/platoon/kombania (kulingana na wingi Wa askari kambini)

SirMajor Mara nyingi huwa na Cheo/Rank ya Sajini/Sergeant.. Staff Sergeant.. Au Afisa Mteule (Kwenye Kambi zenye askari wengi wenye rank za juu)

Hivyo, Ni vigumu SirMajor kupanda Cheo na kua Major.

Kibongo bongo Ma-Major Ni wakuu Wa kambi.
 
Nashukuru kwa kusema sikifahamu ninachoongea ingawa hakuelewa nilichosema .....fanya homework yako sirmajor akipandishwa cheo anakuwa anapewa rank ipi? Kama sirmajor ni cheo cha juu cha wapiganaji so hawezi panda zaidi ya hapo? Ni wote huishia hapo?

SirMajor sio Cheo (Rank) Ni nyadhifa.. Hiyo Ni pamoja na CI, CO na OC..

Umenipata mjomba!?
 
Ningependa kujua tu Jeshini JWTZ kati ya Luteni mwenye (nyota moja) labda mwenye miaka miwili tangia aanze kazi na yule askari mwenye saa mkononi na kirungu sijui cheo chake kinaitwaje mara nyingi huwa ni watu wazima wenye miaka mingi kazini nani ana mshahara mkubwa?

Sasa je, mishahara ya Jeshi inaangalia umri wa kazi au cheo cha Askari? Karibuni kwa ufafanuzi
Jeshini Hakuna Mshahara.
 
Ligi ktk lipi? Unaelekezwa afu unazingua!?:what:

Siwezi Fanya ligi kamanda

Afisa mteule ni yupi? Level ya mwisho mpiganaji-men akipanda anakuwa nani, ukinijibia haya basi, tumemaliza mzozo, najua wajua ila wataka kuleta ligi. .nashukuru kwa kunielekeza mie ni raia najifunza mambo haya kwa utashi tu ila wewe utakuwa unajua mengi
 
Afisa mteule ni yupi? Level ya mwisho mpiganaji-men akipanda anakuwa nani, ukinijibia haya basi, tumemaliza mzozo, najua wajua ila wataka kuleta ligi. .nashukuru kwa kunielekeza mie ni raia najifunza mambo haya kwa utashi tu ila wewe utakuwa unajua mengi

Afisa mteule ni Cheo cha juu kwa NCO's

Akipanda kwa mantiki ipi!? Sababu ya kupanda!?

Akipanda maana yake anakua Officer na sio Men, na ili uwe Officer Ni lazima uhenye pale TMA, unless otherwise kwa idhini ya wakubwa (very rare)
 
Afisa mteule ni Cheo cha juu kwa NCO's

Akipanda kwa mantiki ipi!? Sababu ya kupanda!?

Akipanda maana yake anakua Officer na sio Men, na ili uwe Officer Ni lazima uhenye pale TMA, unless otherwise kwa idhini ya wakubwa (very rare)

Umemjibu vizuri sana.

Labda hawajui rank of classification za jeshi .

Jeshini kuna tabaka mbili za wa wanajeshi.

1.Askari
2.Maafisa wa jeshi.

Rank za Askari zipo hivi( kuanzia chini)

1.Private
2.Corporal
3.sergeant
4.staff sergeant.
5.Warrant officer II
6.Warrant officer I

Mara nyingi ukifika hapo namba sita basi wewe utakuwa umri wako ushaenda sana may unakaribia kustaafu.

Sasa tuangalie vyeo vya maafisa

1.Luteni Usu.
2 .luteni
3 .Captain
4.Major.
5.luten kanali
6.Kanali
7.Brigedia Jenerali.
8.Major Jenerali
9.Luteni Jenerali.
10.Jenerali
11.Field Marshal

Hivi ni vyeo vya kijeshi but kuna nyadhifa na majukumu ama kamisheni wanazopewa .
 
elimu na cheo vinahusika,,,,,,,katika kuwa na mhahara mnono.....kama una ka form four na ka D kako kamoja ka kiswahili,,,,bhasi utakula kulingana na ka D kako hako,,..
 
Inaweza kuwa maana hao huwa hata na miaka 30 ya uzoefu wa kazi.
 
Umemjibu vizuri sana.

Labda hawajui rank of classification za jeshi .

Jeshini kuna tabaka mbili za wa wanajeshi.

1.Askari
2.Maafisa wa jeshi.

Rank za Askari zipo hivi( kuanzia chini)

1.Private
2.Corporal
3.sergeant
4.staff sergeant.
5.Warrant officer II
6.Warrant officer I

Mara nyingi ukifika hapo namba sita basi wewe utakuwa umri wako ushaenda sana may unakaribia kustaafu.

Sasa tuangalie vyeo vya maafisa

1.Luteni Usu.
2 .luteni
3 .Captain
4.Major.
5.luten kanali
6.Kanali
7.Brigedia Jenerali.
8.Major Jenerali
9.Luteni Jenerali.
10.Jenerali
11.Field Marshal

Hivi ni vyeo vya kijeshi but kuna nyadhifa na majukumu ama kamisheni wanazopewa .
Jambo afande!
 
Ningependa kujua tu Jeshini JWTZ kati ya Luteni mwenye (nyota moja) labda mwenye miaka miwili tangia aanze kazi na yule askari mwenye saa mkononi na kirungu sijui cheo chake kinaitwaje mara nyingi huwa ni watu wazima wenye miaka mingi kazini nani ana mshahara mkubwa?

Sasa je, mishahara ya Jeshi inaangalia umri wa kazi au cheo cha Askari? Karibuni kwa ufafanuzi

Nipe namba yako mkuu,nikutumie scale via whatsapp!
 
Back
Top Bottom