Mishahara kada za Afya iongezwe, wanahatarisha sana maisha yao

Mishahara kada za Afya iongezwe, wanahatarisha sana maisha yao

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Watoa huduma za afya wana maisha magumu sana kulinganisha na kazi wanazozifanya.

Kwa kiasi kikubwa wanahatarisha sana maisha yao kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaowahudumia, wapo katika risk kubwa ya kuwa contaminated.

Licha ya hivyo wanafanya kazi muda mrefu mno.

Serikali wawaangalie kwa jicho la 3 watu hawa muda mwingine wanatoa huduma mbovu kutokana na msongo wa mawazo unaosababishwa na uduni wa maslahi.

Hivyo basi serikali wawaboreshee mishahara yao.

Kwa ngazi ya degree mshahara angalau uwe milioni 5.

Kwa diploma mshahara uwe angalau uwe 1.5M ambao sawa na 50 kwa siku.
 
Acheni kazi nyinyi ......Afya Afya badala kusema mishahara ya Serekali kwa watumishi wa Umma ipo chini iongenzwe wewe unaleta habari zenu hapa

Acheni kazi tutawatoa Cuba [emoji1083] [emoji3531] [emoji3590]
Nikuambie Tuu katika wafanyakazi wenye elimu ndogo nawalipwa vizuri ni Nyinyi

Mchukue nesi mwenye cheti au Diploma mshahara wake karibu millioni 2 unakuja hapa unasema habari zako

Nesi anayeaza kazi analipwa karibu laki tano na themanini
Kumbuka manesi wanasemina nyingi na kazi nyingi sana za Posho kuliko mwalimu wa shule ya msingi au Secondary acheni Ubinfsi mkubwa nyinyi
 
Acheni kazi nyinyi ......Afya Afya badala kusema mishahara ya Serekali kwa watumishi wa Umma ipo chini iongenzwe wewe unaleta habari zenu hapa

Acheni kazi tutawatoa Cuba [emoji1083] [emoji3531] [emoji3590]
Nikuambie Tuu katika wafanyakazi wenye elimu ndogo nawalipwa vizuri ni Nyinyi

Mchukue nesi mwenye cheti au Diploma mshahara wake karibu millioni 2 unakuja hapa unasema habari zako

Nesi anayeaza kazi analipwa karibu laki tano na themanini
Kumbuka manesi wanasemina nyingi na kazi nyingi sana za Posho kuliko mwalimu wa shule ya msingi au Secondary acheni Ubinfsi mkubwa nyinyi
Acheni kazi nyinyi ......Afya Afya badala kusema mishahara ya Serekali kwa watumishi wa Umma ipo chini iongenzwe wewe unaleta habari zenu hapa

Acheni kazi tutawatoa Cuba [emoji1083] [emoji3531] [emoji3590]
Nikuambie Tuu katika wafanyakazi wenye elimu ndogo nawalipwa vizuri ni Nyinyi

Mchukue nesi mwenye cheti au Diploma mshahara wake karibu millioni 2 unakuja hapa unasema habari zako

Nesi anayeaza kazi analipwa karibu laki tano na themanini
Kumbuka manesi wanasemina nyingi na kazi nyingi sana za Posho kuliko mwalimu wa shule ya msingi au Secondary acheni Ubinfsi mkubwa nyinyi
Mkuu hao wenye cheti au diploma wanaolipwa 2M ni private au serikali hii hii??
 
Mkuu hao wenye cheti au diploma wanaolipwa 2M ni private au serikali hii hii??
Mtu mwenye Diploma Nesi mshahara wake unafika millioni fwatilia hili utaniambia mimi nilisikitika nina Masters yangu MBA na nipo serekalini hup mshahara amenipita kiufupi serekali ina jali sana watu wa Afya sema shida yao kubwa wao hawaridhiki kbsa kbsa

Ndio binadamu tulivyo
 
Kwani umelazimishwa? Kama unaona unahatarisha maisha si unaacha tu, ni lazima uwe daktari au nesi?

Alaf wengi washenzi tu mnaendekeza rushwa na mnaona ni haki yenu, unakutana na jitu linadai kabisa rushwa bila aibu, nyie jamaa bure kabisa.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Watoa huduma za afya wana maisha magumu sana kulinganisha na kazi wanazozifanya.

Kwa kiasi kikubwa wanahatarisha sana maisha yao kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaowahudumia ,wapo katika risk kubwa ya kuwa contaminated.

Licha ya hivyo wanafanya kazi muda mrefu mno.

Serikali wawaangalie kwa jicho la 3 watu hawa muda mwingine wanatoa huduma mbovu kutokana na msongo wa mawazo unaosababishwa na uduni wa maslahi.

Hivyo basi serikali wawaboreshee mishahara yao.

Kwa ngazi ya degree mshahara angalau uwe milioni 5.

Kwa diploma mshahara uwe angalau uwe 1.5M ambao sawa na 50 kwa siku.
Subiri nikufahamishe ww
Katika kada ambayo wanahatarisha maisha yao sanaa ni hawa madaktari wa wanyama na ndo wanastahiki kulipwa zaidi kuliko nyie
 
Kwani umelazimishwa? Kama unaona unahatarisha maisha si unaacha tu, ni lazima uwe daktari au nesi?

Alaf wengi washenzi tu mnaendekeza rushwa na mnaona ni haki yenu, unakutana na jitu linadai kabisa rushwa bila aibu, nyie jamaa bure kabisa.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app

Ambacho wanasahau ni customer care and quality services, sijui wanahisi mshahara unaongezwa tu bila kuzingatia aspects zingine.
 
Umeongea ukweli mtupu tatizo hapa watakuja wanasiasa waanze kukupinga bila hoja

Huwa inaniuma sana kuona mbubge anagonga meza na kusinzia bungeni afu mwisho wa mwezi anakunja zaidi ya M 12

Hawa wote wanaopinga hapa hawajui madhila wanayokutana nayo watoa huduma wa afya, wataishia tu kusema kazi ya afya ni wito lkn kwenye maslahi wanakaa kimya
 
Mtu mwenye Diploma Nesi mshahara wake unafika millioni fwatilia hili utaniambia mimi nilisikitika nina Masters yangu MBA na nipo serekalini hup mshahara amenipita kiufupi serekali ina jali sana watu wa Afya sema shida yao kubwa wao hawaridhiki kbsa kbsa

Ndio binadamu tulivyo
Manesi gani hao Hawa manesi na madaktari wanagawanyika wapo serikali kuu na serikali za mitaa manesi wa wapi unaosema
 
Huo ni ujinga.
Hakuna kazi ngumu au bora kuliko nyingine.
Watumishi wote bila kujali kada zao wanastahili maisha bora.
Haya nijibu swali hili: Umefanya research na kupata jibu kuwa watumishi wa kada ya afya ndio hufa mapema kuliko kada zingine kwasababu ya mazingira hatarishi ya kazi zao?
 
Back
Top Bottom