Mishahara kada za Afya iongezwe, wanahatarisha sana maisha yao

Mishahara kada za Afya iongezwe, wanahatarisha sana maisha yao

Mtu mwenye Diploma Nesi mshahara wake unafika millioni fwatilia hili utaniambia mimi nilisikitika nina Masters yangu MBA na nipo serekalini hup mshahara amenipita kiufupi serekali ina jali sana watu wa Afya sema shida yao kubwa wao hawaridhiki kbsa kbsa

Ndio binadamu tulivyo
Mtu kaona waongezewe , wewe unapinga ili Nini? Wamekuzuia wewe kudai nyongeza? Mchawi wa mtumishi sio serikali ni Hawa viherehere wanaojifanya watetezi wa serikali... Kumbe wivu umefurika mioyoni na nafsini mwao.!!
 
Mtu mwenye Diploma Nesi mshahara wake unafika millioni fwatilia hili utaniambia mimi nilisikitika nina Masters yangu MBA na nipo serekalini hup mshahara amenipita kiufupi serekali ina jali sana watu wa Afya sema shida yao kubwa wao hawaridhiki kbsa kbsa

Ndio binadamu tulivyo
Kama una ndugu au rafiki yupo kada ya afya, kaa naye vizuri akwambie hali halisi
 
Napigaga madili mengi sana mloganzila aisee kwa mwezi naondoka na milioni 15 nje ya mshahara tu pale mloganzila mshahara wangu siugusi nawatandika WaTanzania! Nimesoma 6 year then unilipe vijisenti?
kama ww unaondoka na 15M basi afisa wa TRA ataondoka na 100M
 
Kwani umelazimishwa? Kama unaona unahatarisha maisha si unaacha tu, ni lazima uwe daktari au nesi?

Alaf wengi washenzi tu mnaendekeza rushwa na mnaona ni haki yenu, unakutana na jitu linadai kabisa rushwa bila aibu, nyie jamaa bure kabisa.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app

Wanafanya kazi muda mrefu, wanahudumia wagonjwa wengi,mshahara kiduchu sana
 
Subiri nikufahamishe ww
Katika kada ambayo wanahatarisha maisha yao sanaa ni hawa madaktari wa wanyama na ndo wanastahiki kulipwa zaidi kuliko nyie
-sasa serikali ndio imeona hamstahili kulipwa vizuri wanawalipa vizuri TRA,EGA,EWURA,TCRA
 
Facts . lakini pia na wao walidhike na mishahara yao mwalimu anaefundisha watoto 800 kwa siku na yeye asemaje
Kufundisha sio sawa na kutibu, afya ndio kipaumbele cha kwanza bila kuwa na afya hayo mengine yote ni sawa na bure
 
Iongezejwe wakati ktk utumishi wa umma tz kada ya afya ndio inayoliopwa mishahara mikubwa kuliko kada zingine
 
Facts . lakini pia na wao walidhike na mishahara yao mwalimu anaefundisha watoto 800 kwa siku na yeye asemaje
Mazingira ya hawa yanahitaji kuwa jasiri; kushuhudia watu wanakata moto si mchezo; au mgonjwa ametobolewa tumbo unatakiwa umtibu n.k
 
Heri wao wanahuo mshahara na wamewahi kushika salary slip
 
Mazingira ya hawa yanahitaji kuwa jasiri; kushuhudia watu wanakata moto si mchezo; au mgonjwa ametobolewa tumbo unatakiwa umtibu n.k
sijakataa kuwa wana mazingira magum waona mtu anakat moto ila aakuomba toka ulipo j3 nenda shule yyt kijijin ya serikal mtafute mwalim wa darasa la kwanza au la pili muulize mazingira yake ya usomeshaj / wanafunz yapoje
 
Subiri nikufahamishe ww
Katika kada ambayo wanahatarisha maisha yao sanaa ni hawa madaktari wa wanyama na ndo wanastahiki kulipwa zaidi kuliko nyie
Huyo daktari ambaye mambo yakimshinda anasema basi mgonjwa aliwe ?
 
Niambieni mshahara wa
Daktari Bingwa
Dactari GP
Afisa Tabibu
Tabibu msaidizi

Nurse Degree
Nurse diploma
Nurse certificate

Pharmacist
Pharm Tech
Pharm assistant

Halafu ndo nichangie hoja yangu
 
Niambieni mshahara wa
Daktari Bingwa
Dactari GP
Afisa Tabibu
Tabibu msaidizi

Nurse Degree
Nurse diploma
Nurse certificate

Pharmacist
Pharm Tech
Pharm assistant

Halafu ndo nichangie hoja yangu
Ngoja tuwasubiri
 
Nurse Diploma Tamisemi Basics 740K

Akiwa chini ya Serikali kuu namaanisha anafanya kazi kwenye Taasisi za umma kama MNH,MOI,KCMC,BUGANDO Basics Yake ni 1.2M



MD

Tamisemi Basics 1.5M

Serikali kuu 1.7
 
Nurse Diploma Tamisemi Basics 740K

Akiwa chini ya Serikali kuu namaanisha anafanya kazi kwenye Taasisi za umma kama MNH,MOI,KCMC,BUGANDO Basics Yake ni 1.2M



MD

Tamisemi Basics 1.5M

Serikali kuu 1.7
Na kada nyingine mkuu
 
Napigaga madili mengi sana mloganzila aisee kwa mwezi naondoka na milioni 15 nje ya mshahara tu pale mloganzila mshahara wangu siugusi nawatandika WaTanzania! Nimesoma 6 year then unilipe vijisenti?
Umesoma 6 years huondoke na 15m mwezi nje ya mshahara.

Hizi kamba kawapige kijiweni kwenu, hapa Ni JF.
 
Back
Top Bottom