Kwaiyo kwenye nyongeza Ile, nurse diploma umetoka kutoka 680k hadi 740kNurse Diploma Tamisemi Basics 740K
Akiwa chini ya Serikali kuu namaanisha anafanya kazi kwenye Taasisi za umma kama MNH,MOI,KCMC,BUGANDO Basics Yake ni 1.2M
MD
Tamisemi Basics 1.5M
Serikali kuu 1.7
Hizo takwimu umezitoa wapi 1.2M ni mshahara wa wa Nursing officer( degree).. anaefanya kazi kwenye taasisi za serikali.Nurse Diploma Tamisemi Basics 740K
Akiwa chini ya Serikali kuu namaanisha anafanya kazi kwenye Taasisi za umma kama MNH,MOI,KCMC,BUGANDO Basics Yake ni 1.2M
MD
Tamisemi Basics 1.5M
Serikali kuu 1.7
Tupe mkeka kakaHizo takwimu umezitoa wapi 1.2M ni mshahara wa wa Nursing officer( degree).. anaefanya kazi kwenye taasisi za serikali.
Diploma hafiki huko.
Mshahara unaongezwa kutokana na hali ya maisha sio kama hivyo unavyosema wewe from nowhere waongezewe tu bila sababu za msingi wale trafiki wanaokaa juani kutwa nzima wanapigwa na jua unajua wanaishije wale.Watoa huduma za afya wana maisha magumu sana kulinganisha na kazi wanazozifanya.
Kwa kiasi kikubwa wanahatarisha sana maisha yao kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaowahudumia, wapo katika risk kubwa ya kuwa contaminated.
Licha ya hivyo wanafanya kazi muda mrefu mno.
Serikali wawaangalie kwa jicho la 3 watu hawa muda mwingine wanatoa huduma mbovu kutokana na msongo wa mawazo unaosababishwa na uduni wa maslahi.
Hivyo basi serikali wawaboreshee mishahara yao.
Kwa ngazi ya degree mshahara angalau uwe milioni 5.
Kwa diploma mshahara uwe angalau uwe 1.5M ambao sawa na 50 kwa siku.
Bishaneni mkimaliza nitawaeleza kwa payslips kuanzia nesi mpaka sisi akina MD4 ila jua hakuna masilahi ukilinganisha na muda uliotumikia what we call elimu ya juu na upuuzi mwingine wote.Watoa huduma za afya wana maisha magumu sana kulinganisha na kazi wanazozifanya.
Kwa kiasi kikubwa wanahatarisha sana maisha yao kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaowahudumia, wapo katika risk kubwa ya kuwa contaminated.
Licha ya hivyo wanafanya kazi muda mrefu mno.
Serikali wawaangalie kwa jicho la 3 watu hawa muda mwingine wanatoa huduma mbovu kutokana na msongo wa mawazo unaosababishwa na uduni wa maslahi.
Hivyo basi serikali wawaboreshee mishahara yao.
Kwa ngazi ya degree mshahara angalau uwe milioni 5.
Kwa diploma mshahara uwe angalau uwe 1.5M ambao sawa na 50 kwa siku.
Isuto ipo wapi?Bishaneni mkimaliza nitawaeleza kwa payslips kuanzia nesi mpaka sisi akina MD4 ila jua hakuna masilahi ukilinganisha na muda uliotumikia what we call elimu ya juu na upuuzi mwingine wote.
Niko mbeya vijijini_Isuto nalima mahindi na pia nauza vipodozi karibu dada To yeye na mkubwa wa kaya Mad Max niwahudumie kwa vipodozi kutoka mashariki ya mbali
Acha ubishi nenda kawaulize diploma muhimbili wanalipwa Tsh ngapi basic 1.2 take home 930KHizo takwimu umezitoa wapi 1.2M ni mshahara wa wa Nursing officer( degree).. anaefanya kazi kwenye taasisi za serikali.
Diploma hafiki huko.
Mbalizi kwenda mbele huko wanaita umalilaIsuto ipo wapi?
Degree kwa Tamisemi Sawa...Hizo takwimu umezitoa wapi 1.2M ni mshahara wa wa Nursing officer( degree).. anaefanya kazi kwenye taasisi za serikali.
Diploma hafiki huko.
Daa,pole kwa baridi wanguMbalizi kwenda mbele huko wanaita umalila
Asante mpaka hapo najua umejua kwanini wale wa natafuta mchumba humu ndani uwa siwaachi kuwafuata japo wananifanya vile wanajisikia .Daa,pole kwa baridi wangu
Asante mpaka hapo najua umejua kwanini wale wa natafuta mchumba humu ndani uwa siwaachi kuwafuata japo wananifanya vile wanajisikia .
Weka tangazo utapata...sema huwa wanakuja wengi ni ngumu kumpata the right oneAsante mpaka hapo najua umejua kwanini wale wa natafuta mchumba humu ndani uwa siwaachi kuwafuata japo wananifanya vile wanajisikia .
Shida mimi sitaki kutafuta aje yeye ili akishindwa asiseme nilimtafuta ila ajue alinitafuta mwenyewe [emoji16][emoji16]Weka tangazo utapata...sema huwa wanakuja wengi ni ngumu kumpata the right one
Tena IST bila mikopo umiza kutoka bankWenye degree walipwe million 17, diploma million 13 na cheti million 5 apo at least wataweza Miliki ata IST
you have nailed itTatizo si mshahara; bali wanatakiwa waajiriwe wengi ili mhudumu mmoja aweze kuhudumia watu wachache kwa siku, kwa kufuata 'standard' za afya zinavyoelekeza
We ni mwanaume,bas utasubiri SanaShida mimi sitaki kutafuta aje yeye ili akishindwa asiseme nilimtafuta ila ajue alinitafuta mwenyewe [emoji16][emoji16]
Duh tanzania hii hii kwenye cycle ya serikali au shirika?Mtu mwenye Diploma Nesi mshahara wake unafika millioni fwatilia hili utaniambia mimi nilisikitika nina Masters yangu MBA na nipo serekalini hup mshahara amenipita kiufupi serekali ina jali sana watu wa Afya sema shida yao kubwa wao hawaridhiki kbsa kbsa
Ndio binadamu tulivyo
.Napigaga madili mengi sana mloganzila aisee kwa mwezi naondoka na milioni 15 nje ya mshahara tu pale mloganzila mshahara wangu siugusi nawatandika WaTanzania! Nimesoma 6 year then unilipe vijisenti?