Wajinga ni wengi sana kiufupi kwenye serikali mishahara haikidhi viwango gepu kubwa sana kati ya wanasiasa na watendaji na ukicheki wanaowajibika na shuguli zote ni watendaji na sio wanasiasa.Mtu kaona waongezewe , wewe unapinga ili Nini? Wamekuzuia wewe kudai nyongeza? Mchawi wa mtumishi sio serikali ni Hawa viherehere wanaojifanya watetezi wa serikali... Kumbe wivu umefurika mioyoni na nafsini mwao.!!
Asikudanganye huyo nchii watumishi wa afya wana stress kuliko stress zenyewe.kama ww unaondoka na 15M basi afisa wa TRA ataondoka na 100M
Mwenyewe nimeshangaa kwa sauti ya juu.Mkuu hao wenye cheti au diploma wanaolipwa 2M ni private au serikali hii hii??
MD 1.4M+ akiwa na mkopo anaweza jikuta anaondoka 8-900kNiambieni mshahara wa
Daktari Bingwa
Dactari GP
Afisa Tabibu
Tabibu msaidizi
Nurse Degree
Nurse diploma
Nurse certificate
Pharmacist
Pharm Tech
Pharm assistant
Halafu ndo nichangie hoja yangu
Mkuu Kuna watu wanafanya kazi katika mazingira magumu Mara 10 zaidi ya huyo anayeshuhudia mtu akikata moto mbele yake, ni basi tu sio wote Wamejaliwa kuongea.Mazingira ya hawa yanahitaji kuwa jasiri; kushuhudia watu wanakata moto si mchezo; au mgonjwa ametobolewa tumbo unatakiwa umtibu n.k
Niliwahi fanya kazi sehemu watu wa mochwari walikua wanalalamika sana maslahi nikaona aah si kweli wakagoma kwa muda wa wiki tu habari tuliipata.Mkuu Kuna watu wanafanya kazi katika mazingira magumu Mara 10 zaidi ya huyo anayeshuhudia mtu akikata moto mbele yake, ni basi tu sio wote Wamejaliwa kuongea.
Nmesoma hii comment yako kwa masaa mawili Wacha nisipate dhambiTena hao manesi wanamajibu ya kwenda motoni sana
Kiufipi Serekali kwenye kada ya Afya wamejitaidi sana kuwalinda
Kama wanalipwa 2m. Mbona yeye kapendekeza angalau diploma alipwe 1.5m uyo wa 2m ni nurse wa nchi ganiMtu mwenye Diploma Nesi mshahara wake unafika millioni fwatilia hili utaniambia mimi nilisikitika nina Masters yangu MBA na nipo serekalini hup mshahara amenipita kiufupi serekali ina jali sana watu wa Afya sema shida yao kubwa wao hawaridhiki kbsa kbsa
Ndio binadamu tulivyo
Eeh sio lile ongezeko la elf 20 mara 50 yan ovyo ovyoSerikali itukumbuke watumishi wote
Yani kada ya afya kuna wanaohatarisha pia maisha yetu tena wengi mno. Ety daktari badala akuchome sindano kidoleni anakupima mapigo ya moyo ya matrakroni.Watoa huduma za afya wana maisha magumu sana kulinganisha na kazi wanazozifanya.
Kwa kiasi kikubwa wanahatarisha sana maisha yao kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaowahudumia, wapo katika risk kubwa ya kuwa contaminated.
Licha ya hivyo wanafanya kazi muda mrefu mno.
Serikali wawaangalie kwa jicho la 3 watu hawa muda mwingine wanatoa huduma mbovu kutokana na msongo wa mawazo unaosababishwa na uduni wa maslahi.
Hivyo basi serikali wawaboreshee mishahara yao.
Kwa ngazi ya degree mshahara angalau uwe milioni 5.
Kwa diploma mshahara uwe angalau uwe 1.5M ambao sawa na 50 kwa siku.
Inawezekana kabisa mkuu. Kuchoropoa tuu ma MDs wanakula vichwa vya kutosha kila siku. TRA sidhani , labda TPA customs na watu wa boarderkama ww unaondoka na 15M basi afisa wa TRA ataondoka na 100M
Na kada ya Udereva pia iongezwe wanahatarisha sana maisha yao.Watoa huduma za afya wana maisha magumu sana kulinganisha na kazi wanazozifanya.
Kwa kiasi kikubwa wanahatarisha sana maisha yao kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaowahudumia, wapo katika risk kubwa ya kuwa contaminated.
Licha ya hivyo wanafanya kazi muda mrefu mno.
Serikali wawaangalie kwa jicho la 3 watu hawa muda mwingine wanatoa huduma mbovu kutokana na msongo wa mawazo unaosababishwa na uduni wa maslahi.
Hivyo basi serikali wawaboreshee mishahara yao.
Kwa ngazi ya degree mshahara angalau uwe milioni 5.
Kwa diploma mshahara uwe angalau uwe 1.5M ambao sawa na 50 kwa siku.
Jamaa ana uongo wa kipuuzi sana. Anadhani huku ni facebook.kama ww unaondoka na 15M basi afisa wa TRA ataondoka na 100M
Tukiacha kazi wewe ndio wa kwanza kufa kutokana na roho yako ilivo nzuri.Acheni kazi nyinyi ......Afya Afya badala kusema mishahara ya Serekali kwa watumishi wa Umma ipo chini iongenzwe wewe unaleta habari zenu hapa
Acheni kazi tutawatoa Cuba [emoji1083] [emoji3531] [emoji3590]
Nikuambie Tuu katika wafanyakazi wenye elimu ndogo nawalipwa vizuri ni Nyinyi
Mchukue nesi mwenye cheti au Diploma mshahara wake karibu millioni 2 unakuja hapa unasema habari zako
Nesi anayeaza kazi analipwa karibu laki tano na themanini
Kumbuka manesi wanasemina nyingi na kazi nyingi sana za Posho kuliko mwalimu wa shule ya msingi au Secondary acheni Ubinfsi mkubwa nyinyi
Na wewe nenda kawe mbungeUmeongea ukweli mtupu tatizo hapa watakuja wanasiasa waanze kukupinga bila hoja
Huwa inaniuma sana kuona mbubge anagonga meza na kusinzia bungeni afu mwisho wa mwezi anakunja zaidi ya M 12
Hawa wote wanaopinga hapa hawajui madhila wanayokutana nayo watoa huduma wa afya, wataishia tu kusema kazi ya afya ni wito lkn kwenye maslahi wanakaa kimya
tra sehemu yenye mianya mingi ya rushwa kuliko kwenye afyaInawezekana kabisa mkuu. Kuchoropoa tuu ma MDs wanakula vichwa vya kutosha kila siku. TRA sidhani , labda TPA customs na watu wa boarder
Mtu mwenye Diploma Nesi mshahara wake unafika millioni fwatilia hili utaniambia mimi nilisikitika nina Masters yangu MBA na nipo serekalini hup mshahara amenipita kiufupi serekali ina jali sana watu wa Afya sema shida yao kubwa wao hawaridhiki kbsa kbsa
Ndio binadamu tuli
esi mwenye degree mshahara wake milioni haifiki sembuse diploma
Hata nesi mwenye degree mil 1 hafiki,acha ujuaji na stori za vijiweni walio kwenye field wanaelewa uhalisia mkuuAcheni kazi nyinyi ......Afya Afya badala kusema mishahara ya Serekali kwa watumishi wa Umma ipo chini iongenzwe wewe unaleta habari zenu hapa
Acheni kazi tutawatoa Cuba [emoji1083] [emoji3531] [emoji3590]
Nikuambie Tuu katika wafanyakazi wenye elimu ndogo nawalipwa vizuri ni Nyinyi
Mchukue nesi mwenye cheti au Diploma mshahara wake karibu millioni 2 unakuja hapa unasema habari zako
Nesi anayeaza kazi analipwa karibu laki tano na themanini
Kumbuka manesi wanasemina nyingi na kazi nyingi sana za Posho kuliko mwalimu wa shule ya msingi au Secondary acheni Ubinfsi mkubwa nyinyi