Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
Unatoa pongezezi za ahadi!?!?
 
Umesahau kupatwa kwa jua
 
Watumishi wa umma mtasubiri sana. Kumbuka hata uteuzi wa mawaziri tuliusubiri sana mwisho wa siku hakuna kipya
 
Namsikiliza Kairuki Tbc 1 mikataba wakiweka mshahara lazima ipandishwe mara dufu aiseh!!
 
mleta taarifa huyu ahaminiki , kwani ni mmoja wa wanajukwaa wanaopinga kwa kejeli juhudi za rais kuifanya Tanzania inayojitegemea kiuchumi na kijamii,.
 
U
Usiache la kupatwa na jua mkuu!
 
Binafsi nimechoshwa na hizi stori za kupanda kwa mishahara zipo tokea July bt cjaona ukweli wwte kuhusu hili jambo so cjaona umuhimu zaidi ya kutujazia screen saver zetu hapa!
 
....
....aiseeh J4 watu wana Akili sanaaaaaaa duh....weita wape mbili mbili kila moja humu Jamvini
 
mkuu, kuanzia septemba mishahara itapanda na watumishi wanaostahili kupanda vyeo watapandishwa na kuanza kulipwa mishahara yao mara moja.

#tpaul...

Ujue una heshima yako na hekima zako hapa JF...

Una uhakika na hili..? Usije wapa watumishi wa umma moyo, alafu ukute hakuna kitu... watakufa watu..

So ebu leta details vizuri
 
Vipi kuhusu uhamisho wa watumishi
mkuu, serikali imeishapiga marufuku tabia ya kuwahamisha watumishi pasipo malipo...mtumishi ukihamishwa inapaswa ulipwe kwanza ndipo uhame.
 
Kwa hilo next week watu wanaanza kula mishahara mipya?
 
Duu kama kweli safi but mi mpaka nione huyu mshahara kwanza ndo niamini hyo kitu la sivy badoo sna tu
 
Madeni yenyewe yamewashinda kuwalipa watumishi ,miaka nenda rudi ni uhakiki na ahadi zizizo na ukomo;je Leo uwezo wa kuongeza mishahara watatoa wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…