Mkuu kwan walimu kawapunja sehemu gan?Mmmmh mbona walimu kawapunja??
huo ni uongo mkubwa kabisa hakuna kitu kama hicho labda itakua 2020 July karibu na uchaguz mkuuHABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Kama hujathibitisha maana yake huu ni umbeaHABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Na ikiwa kweli mtasema nini? Kuwa na akiba ya maneno.ACHA AKILI TOPE HAKUNA KITU KAMA HICHO HII NCHI HAINA PESA NA MISHAHARA HIYO ITAONGEZWA KUPITIA BAJETI GANI,? CCM IMECHOKA HAKUNA JIPYA ZAIDI YA MATAMKO
Weeeee, nani wa kuthubutu!!! Mi huwa najiuliza tu, wanasema uhakiki ni endelevu halafu hapo hapo wanasema ajira mpya, nyongeza za mishahara na kupandisha madaraja vitafanyika baada ya uhakiki kumalizika ; sasa sijui nini maana ya endelevu.hao kina kairunini sijui na mwenzie ndo wanamwitaga simbamchamwene nikiwaona naswitch satation. uoga tu uongoongo wa kisiasa umewajaa. hamna lolote, hofu na nidhamu za woga. hainiingii akilini ministers wakubwa wanashindwa kuamua ili hali uhaba wa watumishi kwenye sekta za afya na elimu ni mkali. hata kumshinikiza prezdaa aachie kibali hawathubutu, ili mradi tu ugali wao uwe salama!
@😡😡😡😡😡😡
Ingekuwa enzi za JK ingewezekana lakin si kwa huyu tuliyenaye sasa.
Mamamayo!! Unasemaje hii ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka Ijumaa, halafu mwisho unasema ni tetesi?HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Hujui tofauti ya TGTSA na TGSA. Badala ya kuomba kujua ushaanza kuponda kitu ambacho hujui. Mkiitwa jina la yule anayeishi Serengeti, mnalalamika mmetukanwa!Huu upuuzi ulianza kusambaa tangu mwez July 2016,
Huo mshahara wa TGTS A na TGS A ndo wanalipwa kina nani?
Watanzania acheni uzembe wa kukubali kila uongo wa mitandaoni!
Acha uongo scale ya July iliyosambaa siyo hiyo na Siku zote unapobisha jambo njoo na hoja kama ujui nyamaza ajabu nini sasa au unaona mshahara mkubwa kwaiyo hauamini nisikilize miye sasa hiyo scale ni ya kweli angalizo tu usiende bank kutop up maana watumishi wa inchi hii kama wamelogwa na mikopoHuu upuuzi ulianza kusambaa tangu mwez July 2016,
Huo mshahara wa TGTS A na TGS A ndo wanalipwa kina nani?
Watanzania acheni uzembe wa kukubali kila uongo wa mitandaoni!
sikushangaa unavyojiita mwenyekiti wa ccm jf! maana wewe ni mjinga wa wajinga!! yaani mara PROVED mara tetesi mbaaaafuHABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Hahaha anaotaDalili za kurun mental hizi