Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
Mi nadhani tusiandikie mate wakuu wiki ijayo haipo mbali jamani panapo majaliwa tutajionea wenyewe tuwe na subra maana matamko yamezidi vitendo
 
Kuweni na subira mwisho wa mwezi sio mbali mbivu na mbichi itafahamika pale ambapo kila mtu atachungulia mshahara wake
 
HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016

1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000

PROVED.......... HAPA KAZI TU

TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.

NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
huo ni uongo mkubwa kabisa hakuna kitu kama hicho labda itakua 2020 July karibu na uchaguz mkuu
 
Ina maana scale ya Magufuli haipo au tupo nae hapo kwenye 500 mkuu?
 
Hakuna kitakachoongezwa maana mkuu wa nchi ndio aliyetangaza kusitisha na mpaka sasa sijapata kusikia kutoa tamko la kuruhusu ajira na watu kupewa promotion zao ambazo walishaanza kuzitumikia kwa mwezi mmoja halafu wakanyang'anya.
 
mwaka huu hakuna ongezeko,serikali imepunguza 2% kwenye income tax imemaliza. sasa endelea kuota u will be very disapointed aisee!!!
 
HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016

1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000

PROVED.......... HAPA KAZI TU

TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.

NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Kama hujathibitisha maana yake huu ni umbea
 
hao kina kairunini sijui na mwenzie ndo wanamwitaga simbamchamwene nikiwaona naswitch satation. uoga tu uongoongo wa kisiasa umewajaa. hamna lolote, hofu na nidhamu za woga. hainiingii akilini ministers wakubwa wanashindwa kuamua ili hali uhaba wa watumishi kwenye sekta za afya na elimu ni mkali. hata kumshinikiza prezdaa aachie kibali hawathubutu, ili mradi tu ugali wao uwe salama!
@😡😡😡😡😡😡
Weeeee, nani wa kuthubutu!!! Mi huwa najiuliza tu, wanasema uhakiki ni endelevu halafu hapo hapo wanasema ajira mpya, nyongeza za mishahara na kupandisha madaraja vitafanyika baada ya uhakiki kumalizika ; sasa sijui nini maana ya endelevu.
 
Ingekuwa enzi za JK ingewezekana lakin si kwa huyu tuliyenaye sasa.


Hivi humo ndani ya nyumba mnaelewana kweli kati ya wewe na mke wako? Kwa maana wote mnaongea kimafumbo mafumbo na kimipasho!
 
HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016

1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000

PROVED.......... HAPA KAZI TU

TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.

NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
Mamamayo!! Unasemaje hii ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka Ijumaa, halafu mwisho unasema ni tetesi?
 
Huu upuuzi ulianza kusambaa tangu mwez July 2016,

Huo mshahara wa TGTS A na TGS A ndo wanalipwa kina nani?

Watanzania acheni uzembe wa kukubali kila uongo wa mitandaoni!
Hujui tofauti ya TGTSA na TGSA. Badala ya kuomba kujua ushaanza kuponda kitu ambacho hujui. Mkiitwa jina la yule anayeishi Serengeti, mnalalamika mmetukanwa!
 
Waongeze mishahara wapunguze ni wao watakavyoamua.Ila kwenye fao la kujitoa hapo ndio kuna shida NSSF yangu imekaa vizuri soon niondokane na manyanyaso ya ajira nijiari mie.
 
Huu upuuzi ulianza kusambaa tangu mwez July 2016,

Huo mshahara wa TGTS A na TGS A ndo wanalipwa kina nani?

Watanzania acheni uzembe wa kukubali kila uongo wa mitandaoni!
Acha uongo scale ya July iliyosambaa siyo hiyo na Siku zote unapobisha jambo njoo na hoja kama ujui nyamaza ajabu nini sasa au unaona mshahara mkubwa kwaiyo hauamini nisikilize miye sasa hiyo scale ni ya kweli angalizo tu usiende bank kutop up maana watumishi wa inchi hii kama wamelogwa na mikopo
 
HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016

1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000

PROVED.......... HAPA KAZI TU

TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.

NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
sikushangaa unavyojiita mwenyekiti wa ccm jf! maana wewe ni mjinga wa wajinga!! yaani mara PROVED mara tetesi mbaaaafu
 
a72d01c6d66f0427bc72a2e6d7f150e9.jpg

Uwezo wa serikali unabaki kwenye maigizo tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom