Nyamtalakyono
JF-Expert Member
- Dec 17, 2015
- 795
- 479
Kilicho kuchekesha?Mkuu comment yako imenichekesha sana.
Hahahahalimeseji limezunguka tangu mwezi wa sita hilo
Content ya post yako.Kilicho kuchekesha?
Jengeni ofisi kwanza ndo mje mjadili mishaharaACHA AKILI TOPE HAKUNA KITU KAMA HICHO HII NCHI HAINA PESA NA MISHAHARA HIYO ITAONGEZWA KUPITIA BAJETI GANI,? CCM IMECHOKA HAKUNA JIPYA ZAIDI YA MATAMKO
Wahenga walisemaga..HABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA
wazee gan hao unaowasemea,mbona me mzee wangu anapata kwa wkt?Pensheni ya wazee walio stahafu na wanaolipwa kila mwezi sasa hivi ni mwezi 3 serekali imeshindwa kuwalipa
Lini alisema hivyo??? Unataka kusema sisi wengine hatukusikia alichoongea!!!Acheni kutuchanganya sisi wafanyakazi. Tunachofanyia kazi ni kauli ya Rais wetu mpendwa JPM siku ya MEI Mosi kwamba kwa mwaka huu hataongeza mshahara labda mwakani. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Rejea hotuba ya Rais ktk sherehe za mei mosi.Lini alisema hivyo??? Unataka kusema sisi wengine hatukusikia alichoongea!!!
mmmh hii hatari jamaa anataka tuishi kama shetanipayrol imerun jna alhamisi, akuna mabadiliko yoyote ya mishahara, chanzo: nipo halmashauri, tujifunge mkanda tu
HAPA KAZI TU!!
hivi kujitoa si inaruhusiwa au...!!?Kuna wastaafu wamestaafu April kuja juu hawajalipwa mafao yao mpaka leo kupitia Mfuko wa PSPF kisa Serikali haijawalipa madeni yao wanayoidai.
Acha Umbea umedanganyanywa. Hakuna Ujinga wa Namna hiyo.Hiyo Kitu Ni Ya Kweli Kabisa Kuna Jamaa Yangu Anafanya Kazi Ktk Halmashauri Flani Upande Wa LAWSON huu waraka wanao tayari na kila halmashauri kwa uhakika zaidi tafuta mtu yoyote anayefanya kazi kitengo hicho ktk halmashauri yako
viroba katika ubora wake maana badala ya kufanya kazi mnaotaNgoja Jamaa Akinipa Napiga Picha Naweka Hapa Labda Na Yeye Awe Amenidanganya