Hivi wameeongezewa shingapi??? Hao walimu wakuu na wakuu Wa shuleAt least kada zingine hata kuwa kuna per diem, safari, seminars, house allowance n.k walimu Sasa ha ha ha nicheke kama mazuri
Kazi ya ualimu ndio inayotumia akili na saikology zaidi kuliko zoteHivi ikiongelewa mishahara inawataja walimu na kada ya afya tuu. Je, watumishi wengine hawafanyi kazi tena ngumu sana zinazohitaji kutumia akili kudeal na pyschosocial problems?
Je, mishahara itaongezwa kuziba mianya ya maisha tunayoikabili ili kuweza kufikia malengo ya nchi na ya mtu mmoja mmoja?
Hata sijuiHivi wameeongezewa shingapi??? Hao walimu wakuu na wakuu Wa shule
Kazi ya ualimu ndio inayotumia akili na saikology zaidi kuliko zote
Laki mbili na nusuHata sijui
Kuna kazi ngumu kama wanayoipata maafisa ustawi wa jamii??? Kusuluisha migogoro ya ndoa,kulinda haki za watoto,wazee,watu waishio na vvu,walemavu kwa ujumla na kuwajenga waone maisha ni kama zawadi kwao... Pia walimu nawakubali sana ila serikali ikiongeza mishahara iguse kote.Hali ya maisha si nzuri kabisaaaaaaaaaaaa
Acheni kazi mkatafute kazi nyingine kama mnaona mshahara hautoshi, by ..........walimu tuna hali ngumu...
Jibu ni kwamba baada Mungu KUMUuMBA Adam ,na kuwambia malaika wammsujudie yaani wammpe heshima,m malaika wowote walisujudu isipokuwa huyu Iblis ambayo asili yake alikuwa ni jinni.kumbuka huyu huyu Iblis au ababil au abaa sijda alilelewa mbinguni na mpk akawa kiongozi wa malaika wote.ni kiumbe anajua mambo mengi sana mbingun.sawa kwiokwio tunasubiri
Hakuna kitu kama hicho na hizo ni ndoto za mchana kweupeHABARI
SALARY KWA MWEZI September 2016
1.TGTS A1-546,000
2.TGTS B1-694, 000
3.TGTSC1-782,500
4.TGTS D1-939,000
5.TGTS E1-1,319,000
6.TGTS F1-1,653,000
7.TGTSG1-1,970,000
8.TGTSH1-2,584,000
9.TGTSI1-2,865,000
PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA.
Inaanza kutumika September 2016.
NOTE:NI TETESI SIJADHIBITISHA