Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
Tunasubiria japo sina uhakika na hii taarifa yako kabisa
 
Yaani nyie machadema hamna kabisa ari ya kutumikia wanyonge, jambo la mshahara we unaleta siasa zako za Maji taka!
Hapa ndipo unaikoroga hoja.
- si lazima ufikiri kuwa kila anayeuliza ongezeko la mishahara linafuata utaratibu upi ni cdm.
- kwani kila anayetetea wanyonge lazima awe ccm. Mbona mwana ccm alitengeza ARV fake?
Mwovu ni mwovu regardless of his/party affiliation.
- Hoja nzuri au mbaya inategemea mtu, lakini naona mwezetu hoja zako ni zakiubaguzi wa kivyama.
 
Mjidanganye na watumishi hewa..!! Kuna kesi nyingi zimefunguliwa kwa baadhi ya watawala kusingizia watumishi walio kuwa either mitazamo tofauti to watawala kuhusu watawala hao kuwaweka watumishi hewa, ingali wengine wapo matibabu, masomoni etc. Let's wait and see
 
mkuu, kuanzia septemba mishahara itapanda na watumishi wanaostahili kupanda vyeo watapandishwa na kuanza kulipwa mishahara yao mara moja.

Mbona bajeti ilishapita na mishahara ilishatengwa. Unadhani serikali inaongozwa kama timu ya ndondo
 
Haya mashairi ya namna hii tumeyachoka mtu ana bwabwaja tu hakuna chanzo cha taarifa yake hovyo kabisa
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Watumishi wa umma kaeni mkao wa kupokea mishahara minene. Kwa muda mrefu sasa tangu Dr Magufuri aanze kurekebisha mifumo ya utawala wa nchi, watumishi wa umma walionekana kama wametengwa sana hadi baadhi yao kupelekea kukata tamaa ya maisha. Sasa mkae mtulie…mambo yenu yameiva!


Kuna taarifa kwamba Serikali imepanga kuongeza mishahara ya umma maradufu ifikapo September baada ya kufanikiwa kuwaondoa watumishi na wanafunzi hewa na kupunguza mishahara ya baadhi ya watumishi waliokuwa wakilipwa mamilioni ya shilingi huku wengine wakilipwa mishahara uchwara, hivyo fedha zote zilizookolewa zimeelekezwa kuongeza mishahara ya watumishi wa umma ambao wamekuwa wakilalamikia udogo wa mishahara kwa muda mrefu. Aidha, taarifa zinadai kuwa watumishi wote wanaostahili kupanda vyeo/madaraja watapandishwa na kuanza kulipwa mishahara mipya mara moja.


Ifahamike kwamba wakati Dr Magufuri anaomba ridhaa ya kuongoza nchi hii aliwaahidi maslahi bora watumishi wa umma, hivyo ahadi yake ndio inaanza kutekelezwa sasa. Kumbe lilikuwa ni suala la wakati tu. Sasa civil service imeanza kupata mwanga uliokuwa umekosekana kwa muda mrefu na kupelekea watumishi wa umma kuvunjika mioyo ya kuwatumikia wananchi. Hongerza sana Dr Magufuri kwa kuwajali watumishi wa umma.
Mkuu umesema 'tetesi' sasa hizo pongezi kwa Magufuli zinatokea wapi tena
 
hata wanipe milioni siwapendi tu CCM sijui kwa nini??!!

Nimewachokaaaa!!!
 
t
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Watumishi wa umma kaeni mkao wa kupokea mishahara minene. Kwa muda mrefu sasa tangu Dr Magufuri aanze kurekebisha mifumo ya utawala wa nchi, watumishi wa umma walionekana kama wametengwa sana hadi baadhi yao kupelekea kukata tamaa ya maisha. Sasa mkae mtulie…mambo yenu yameiva!


Kuna taarifa kwamba Serikali imepanga kuongeza mishahara ya umma maradufu ifikapo September baada ya kufanikiwa kuwaondoa watumishi na wanafunzi hewa na kupunguza mishahara ya baadhi ya watumishi waliokuwa wakilipwa mamilioni ya shilingi huku wengine wakilipwa mishahara uchwara, hivyo fedha zote zilizookolewa zimeelekezwa kuongeza mishahara ya watumishi wa umma ambao wamekuwa wakilalamikia udogo wa mishahara kwa muda mrefu. Aidha, taarifa zinadai kuwa watumishi wote wanaostahili kupanda vyeo/madaraja watapandishwa na kuanza kulipwa mishahara mipya mara moja.


Ifahamike kwamba wakati Dr Magufuri anaomba ridhaa ya kuongoza nchi hii aliwaahidi maslahi bora watumishi wa umma, hivyo ahadi yake ndio inaanza kutekelezwa sasa. Kumbe lilikuwa ni suala la wakati tu. Sasa civil service imeanza kupata mwanga uliokuwa umekosekana kwa muda mrefu na kupelekea watumishi wa umma kuvunjika mioyo ya kuwatumikia wananchi. Hongerza sana Dr Magufuri kwa kuwajali watumishi wa umma.
tpaul umekula maharage ya wapi ww, unadanganya hadharani, hiz tetesi zingekuwa na chembe ya ukweli usingetumia id feki, acha kuwapa watu stress za bure
 
mkuu, kuanzia septemba mishahara itapanda na watumishi wanaostahili kupanda vyeo watapandishwa na kuanza kulipwa mishahara yao mara moja.
Mkuu vip kuhusu ajira mpya?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom