Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wanaukumbi.
Rais wa Tanzania Julius Kambarage Nyerere "MSHAHARA wangu ni Shilingi elfu tano kwa mwezi. Shilingi elfu tano katika nchi masikini. Masikini anayepata shilingi 200 kwa mwezi itamchukuwa miaka 25 kufikia kiwango cha mshahara wangu kwa mwezi. ndiyo nakubaliana na nyinyi kwamba tunalipana (Viongozi) mishahara mikubwa mno, na nitahakikisha mishahara hii tunayolipana inarekebishwa."
Maneno haya aliyatamka mwaka 1966. Dar es Salaam wakati akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walioandamana hadi Ikulu kupinga kwenda JKT na pia kulalamikia mishahara minono ya viongozi wa serikali.
Cc; Jasusi, Nguruvi3, WildCard, Profesa, Mzee Mwanakijiji, adolay, Barubaru, ZeMarcopolo, JokaKuu, Sideeq, chama, FaizaFoxy, gombesugu, JMUshi, Zinedine, Mchambuzi, EMT, Pasco, JingalaFalsafa, Kimbunga,
Rais wa Tanzania Julius Kambarage Nyerere "MSHAHARA wangu ni Shilingi elfu tano kwa mwezi. Shilingi elfu tano katika nchi masikini. Masikini anayepata shilingi 200 kwa mwezi itamchukuwa miaka 25 kufikia kiwango cha mshahara wangu kwa mwezi. ndiyo nakubaliana na nyinyi kwamba tunalipana (Viongozi) mishahara mikubwa mno, na nitahakikisha mishahara hii tunayolipana inarekebishwa."
Maneno haya aliyatamka mwaka 1966. Dar es Salaam wakati akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walioandamana hadi Ikulu kupinga kwenda JKT na pia kulalamikia mishahara minono ya viongozi wa serikali.
Cc; Jasusi, Nguruvi3, WildCard, Profesa, Mzee Mwanakijiji, adolay, Barubaru, ZeMarcopolo, JokaKuu, Sideeq, chama, FaizaFoxy, gombesugu, JMUshi, Zinedine, Mchambuzi, EMT, Pasco, JingalaFalsafa, Kimbunga,