Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Kwani mapungufu ya Nyerere yanamfanya JK kuwa Kiongozi Imara
Mantiki ni hii"Hatushindanishi Ubovu" nyerere pamoja na mapungufu yake kama binadamu hakuna kiongozi wa Tanzania anayeweza kulinganishwa naye labda kwa Mbali Sokoine,ila siwezi kumuweka sababu akuwai kuwa Rais
Mantiki ni hii"Hatushindanishi Ubovu" nyerere pamoja na mapungufu yake kama binadamu hakuna kiongozi wa Tanzania anayeweza kulinganishwa naye labda kwa Mbali Sokoine,ila siwezi kumuweka sababu akuwai kuwa Rais