Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Status
Not open for further replies.
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000


TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
Haujaeleweka kbsa,ungetaja mf.TGTS 1 •••••• KWENDA TGTS •••••
 
Serikali iliahidi kulipya mishahara mipya mwezi huu,
Watumishi wa umma wana matumaini hayo.

Serikali itekeleze ahadi yake na iepuke kukatisha tamaa wafanyakazi wake na kushusha mori ya utendaji kazi.

Wabunge mliopo bungeni na vyama vya wafanyakazi ikumbusheni serikali jambo hili lililojaa kigugumizi.
Waziri wa utumishi atoe kauli bungeni juu ya swala hii pamoja na ajira mpya.
 
hela za kuhamia dodoma zinatoka wapi za kagera hazijatosha japo ilikuwa ni rambirambi
 
Serikali iliahidi kulipya mishahara mipya mwezi huu,
Watumishi wa umma wana matumaini hayo.

Serikali itekeleze ahadi yake na iepuke kukatisha tamaa wafanyakazi wake na kushusha mori ya utendaji kazi.

Wabunge mliopo bungeni na vyama vya wafanyakazi ikumbusheni serikali jambo hili lililojaa kigugumizi.
Waziri wa utumishi atoe kauli bungeni juu ya swala hii pamoja na ajira mpya.
 
Tafuteni kipato cha ziada. Acheni kujibweteka na mascale ya ajabu ajabu
 
Ahadi hiyo ilitolewa lini na wapi my ndugu RingaRinga?
 
Serikali iliahidi kulipya mishahara mipya mwezi huu,
Watumishi wa umma wana matumaini hayo.

Serikali itekeleze ahadi yake na iepuke kukatisha tamaa wafanyakazi wake na kushusha mori ya utendaji kazi.

Wabunge mliopo bungeni na vyama vya wafanyakazi ikumbusheni serikali jambo hili lililojaa kigugumizi.
Waziri wa utumishi atoe kauli bungeni juu ya swala hii pamoja na ajira mpya.



Niko ofcn lkn nimetoka kidogo kuna deal nafukuzia, kukiwa na ishu watanishtua
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom