Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Status
Not open for further replies.
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
bado kimya mpaka leo
 
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
Vipi taarifa zilizovuja ?!!!? Ziba koromeo sasa.
 
Kama walimu wakiongezwa mishahara nami nabadili fani.

Mkuu mbona suala la watumishi kongezwa mishahara ni jambo la kheri? Sasa kwa nini mnagombana?
Mimi niliuliza mishara ilikuaje kabla ya tetesi ya mabadiliko iliyoletwa na mtoa mada,halafu akaniquote kwa majibu yake mabaya
 
Ikiwa hivo mambo safi sanaa,walimu ni watu muhimu sana waache waongezewa tu mishahara yao.
 
Madaktari wa rufaa mishara imepunguzwa kama tulivyoambiwa jana kule Bugando na katibu mkuu wa wizara ya afya (kama ilivyoandikwa humu Jf).

Sasa imekuwaje waalimu wao mishahara yao imepanda? (NB: Kwa wasiojua hizo salary scales alizo nukuu ni za mishahara ya waalimu tu.

Yaani mwalimu wa chini kabisa anayefundisha ngazi ya vidudu anaanzia zaidi ya Shs 0.5 m kwa mwezi zaidi ya graduate wa SAUT na anamkaribia saana daktari wa rufaa baada ya mshahara wake kuteremshwa.
Siku hizi hakuna mwalimu wa vidudu walimu woote wanapewa mafunzo ya elimu awali ni uchagiaji wa masomo tu na mapenzi ya mwalimu kufundisha huko
 
Wewe kama huna thread ya kuweka kalale huu uzi wa zamani sana leo ni november
 
Nilimkuta kichaa kalala jalalani huku akionekana kutabasamu, atakuwa anaota au kuna jambo alikuwa anafurahia ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom