Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,371
- 2,834
kama madaktari level ya degree walikua wanapokea mshahara mkubwa kuliko mwalimu Wa level ya degree sasa watashushwa hadi kufikia tgts hizo hapo juu!
Hamna kitu kama hiko, kwanza kwa miaka ya kusoma Hizo Degree mbili zinatofautiana....Hamna muujiza wa kufanana Salary MD na BscEd Serikalini.