Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Status
Not open for further replies.
a
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
amaizing
 
Ukienda kwenye muundo wa ajira serikali kuu na ukaangalia TGS zinavyopangwa utajua naongea nn!waliosoma shahada za Miaka mitatu huanzia TGS D, Minne TGS E, mitano TGS F
Uko sahihi ila hatujaelewana padogo sana, usijali.
 
COMFIRMED.
Kwa docs nilizoziona ni kwamba hakuna badiliko lolote la mshahara.
Ndugu tujizue kuwa tunatoa taarifa za kuzusha.
Haina maana kudanganya kwenye mada serious kama hizi.
 
COMFIRMED.
Kwa docs nilizoziona ni kwamba hakuna badiliko lolote la mshahara.
Ndugu tujizue kuwa tunatoa taarifa za kuzusha.
Haina maana kudanganya kwenye mada serious kama hizi.

kweli aisee
nawewe uwe mkweli pia. du!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom