udongo mweusi
Member
- May 18, 2016
- 72
- 55
hakuna source hapa kila mtu anapuyanga kivyake tuTupeni source tafadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna source hapa kila mtu anapuyanga kivyake tuTupeni source tafadhari
Ni kweli kabisa bro,Mnaliwaza walimu tu hapa
Hamna badiliko kwenye LAWSON wanduguHakuna Afisa Utumishi humu atuangalizie kwenye mifumo ya mishahara yaani "LAWSON'' ili kuondoa ubishi
TRA wanasoma miaka mingapi? TPA, TANAPA etc! We vip!!Acheni uchochezi!Daktari level ya degree na mwalimu level ya degree walingane mishahara itakuwa tanzania ni nchi ya kwanza!Yaani mwalimu anayesoma miaka mitatu na daktari anayesoma miaka 5 walingane mishahara??Jamani tuache uchochezi
watakwambia ni confidencial, sijui anaefichwa ni naniHivi si kuna tume ya marekebisho ya mishahara? Ndio inatakiwa ifanyie kazi hizo na kuelewesha umma! Hizi guessing zinafanya wafanyakazi wapunguze moral wa kazi! Watoe tamko rasmi
unachanganya mambo, hizi kada zinaajiri in watu wengi ziko kwenye pool la serikali kuu ama serikali za mitaa!kumbuka kuna taasisi na mashirika wao hawa wana salary scale zao!sijui hata wanalipwa shilingi ngapiTRA wanasoma miaka mingapi? TPA, TANAPA etc! We vip!!
kama hata ya mwanzo hujui hutakiwa kujua hata hii
...hoja mama hapa ilikuwa eti muda mwingi wa kukaa darasani uchukuliwe kama kigezo cha kulipwa pakubwa, haikuwa serikali za mitaa wala taasisi na mashirika ya umma! Nje ya box nilimaanisha hamna correletion ya kusoma miaka mingi na mshahara mkubwaunachanganya mambo, hizi kada zinaajiri in watu wengi ziko kwenye pool la serikali kuu ama serikali za mitaa!kumbuka kuna taasisi na mashirika wao hawa wana salary scale zao!sijui hata wanalipwa shilingi ngapi
Ukienda kwenye muundo wa ajira serikali kuu na ukaangalia TGS zinavyopangwa utajua naongea nn!waliosoma shahada za Miaka mitatu huanzia TGS D, Minne TGS E, mitano TGS F...hoja mama hapa ilikuwa eti muda mwingi wa kukaa darasani uchukuliwe kama kigezo cha kulipwa pakubwa, haikuwa serikali za mitaa wala taasisi na mashirika ya umma! Nje ya box nilimaanisha hamna correletion ya kusoma miaka mingi na mshahara mkubwa
bado siku 4 tuAcha uongo madaktari wamepunguziwa walimu ndio waongezewe? Haitatokea mkuu
za kwako zina oil chafuAkili zako zina matope
Kuna walimu waliosoma miaka minne lakini walipoajiriwa walianza na TGS D mkuu. Ina maana hawa walipunjwa ama ndo utaratibu ulikuwa haujaanza?Ukienda kwenye muundo wa ajira serikali kuu na ukaangalia TGS zinavyopangwa utajua naongea nn!waliosoma shahada za Miaka mitatu huanzia TGS D, Minne TGS E, mitano TGS F
Hawa waliajiriwa kabla ya mfumo huu wa TGS, Kwa sasa lazima wangeanzia TGSTEKuna walimu waliosoma miaka minne lakini walipoajiriwa walianza na TGS D mkuu. Ina maana hawa walipunjwa ama ndo utaratibu ulikuwa haujaanza?
pia kuna walimu waliosoma BED Arts/Science shahada ya miaka mitatu na wakapangiwa kuwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu walianza na TGTS E kama mshahara wa kuanzia..Kuna walimu waliosoma miaka minne lakini walipoajiriwa walianza na TGS D mkuu. Ina maana hawa walipunjwa ama ndo utaratibu ulikuwa haujaanza?
Sawa kabisa mkuu. Tena hawa wanawapiga gap wenzao waliosoma nao kwa kuwa tu wanafundisha vyuo vya ualimu.pia kuna walimu waliosoma BED Arts/Science shahada ya miaka mitatu na wakapangiwa kuwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu walianza na TGTS E kama mshahara wa kuanzia..