Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Status
Not open for further replies.
COMFIRMED.
Kwa docs nilizoziona ni kwamba hakuna badiliko lolote la mshahara.
Ndugu tujizue kuwa tunatoa taarifa za kuzusha.
Haina maana kudanganya kwenye mada serious kama hizi.
nimeaprove hata miye uko sahihi mkuu
 
nimesikia tetesi maafande wameongezewa posho kutoka 300,000 hadi 400,000 sijui kama ni kweli
 
Tuendelee kudanganyana kupunguziana stress, binafsi viuzushi hivi vinanipa burudani hv. Naandaa id fake na mie nitoe kibomu kilichoenda shule niliwaze wanaoliwazika..
 
Tuendelee kudanganyana kupunguziana stress, binafsi viuzushi hivi vinanipa burudani hv. Naandaa id fake na mie nitoe kibomu kilichoenda shule niliwaze wanaoliwazika..

Nachukia sana mtu aina Yako!! sa ukishatuongopea utapata faida gani? zaidi utapata dhambi buree usifanye hivyo muogope muumba
 
Dr
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
Dr Makufuri kasema haongezi hata shilingi....mbona nyie mnakuwa wagumu wa kuelewa,?
 
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho

Wewe sheria ya makosa ya mtandao inakuhusu. Subiri hapohapo tunakuja kukuchukua tukupeleke mahali salama
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom