KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
Haujaeleweka kbsa,ungetaja mf.TGTS 1 •••••• KWENDA TGTS •••••
Kwan uhakiki umeisha?
Sahau kuhusu hilo suala
Serikali iliahidi kulipya mishahara mipya mwezi huu,
Watumishi wa umma wana matumaini hayo.
Serikali itekeleze ahadi yake na iepuke kukatisha tamaa wafanyakazi wake na kushusha mori ya utendaji kazi.
Wabunge mliopo bungeni na vyama vya wafanyakazi ikumbusheni serikali jambo hili lililojaa kigugumizi.
Waziri wa utumishi atoe kauli bungeni juu ya swala hii pamoja na ajira mpya.
hahahahhah, kwani huna vijisenti kama milioni saba hivi, hahahahahahah vya fasta kama vikihitajika serikalini?Unanitega?