Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Status
Not open for further replies.
Bado sana
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
 
Lazima ziwe announced... izo tetesi labda zinatoka》》 ijumaa/sani/uwazi/
 
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
Umeitoa wapi hii?
 
Mkuu, sidhani kama hivi viwango ni vya kweli, but lets say ni vywa kweli, kjna tabu gani mwalimu wa nursery kupokea 0. 5 M???
Taabu inakuja pale anapompita mwenye degree ya uhasibu toka SAUT. Huyu mhasibu ataona hathaminiwi hivyo atasepa na fedha yetu.
 
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
Magufuli ameshasema haongezi kitu mpaka uhakiki upite we u akurupuka hapa na habari zako ovyoooooo
 
kama madaktari level ya degree walikua wanapokea mshahara mkubwa kuliko mwalimu Wa level ya degree sasa watashushwa hadi kufikia tgts hizo hapo juu!
Basi nao sasa wataanzisha vi tuition vyao mitaani, watatufanyia operesheni huku wakipiga miayo kwa njaa kitu kinachoweza kuhatarisha uhai wetu sisi masikini ambao hatuna uwezo wa kutibiwa kwenye hospitali ambazo wakubwa huwa wanatibiwa.

Hatukatai walimu au watumishi wengine wa umma kupandishwa mishahara, tunachokataa ni madaktari wetu kupunguziwa mishahara.
 
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho

Hizi scales ni ktk sekta ya ualimu, I think. Japo hii kitu ni ya kwako tu, haina uthibitisho na jamaa alishasema hakuna nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma!!

Tanzania Government Teachers' Salary (TGTS)
 
KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
Hii ni idara au kada gani ya utumishi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom