Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Acha kulalamika mkuu mshahara utatoka jumatatu. Yaani malalamiko yako kimsingi hayana mantiki.
Alafu ukute take home yako hata 500K haifiki eti na wewe unajisemea umpe muda naaani sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hizi dharau sasa halafu mbaya zaidi mwanaume ndio unamdharau mwanaume mwenzakoAcha kulalamika mkuu mshahara utatoka jumatatu. Yaani malalamiko yako kimsingi hayana mantiki.
Alafu ukute take home yako hata 500K haifiki eti na wewe unajisemea umpe muda naaani sasa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Lakini biashara dah maumivu haswaSie hatuna habareeee🤸♂️🤸♂️🤸♀️🤸♀️!
Mkuu kila sehemu kuna maumivuLakini biashara dah maumivu haswa
Naona bora wale ambao wana uhakika mwisho wa mwezi mzigo unaingiaMkuu kila sehemu kuna maumivu
Toa sadaka na zaka wasaidie wasiojiweza..then thank me later!Lakini biashara dah maumivu haswa
Muache tu huyo kama yeye anaishi kwa hela ya wizi sisi tunaishi kwa hicho kidogo na tunaridhika[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Asante kwa ushauri japo mara nyingi hufanya hivo ninapokuwa nachoToa sadaka na zaka wasaidie wasiojiweza..then thank me later!
Weeeeeeeee utoke wapi labda ww ni wa sayari nyingine.Mbona umeshatoka
Msome vzr bushmamy mkuuKutoa sadaka na zaka haiondoi risk za biashara mzee.
Naila kila kimoja kinafaida zake
There is power in giving. Hili somo halieleweki kwa tulio wengi. The more you give the more you receive.Toa sadaka na zaka wasaidie wasiojiweza..then thank me later!
Haujatoka hata hapa bank nmb hakuna folen..kuna mtu nimemuacha amejikunyataaaaa...mwe poleniWeeeeeeeee utoke wapi labda ww ni wa sayari nyingine.
Bora useme wewe mkuu..nikisema mm ntaonekana navimba!There is power in giving. Hili somo halieleweki kwa tulio wengi. The more you give the more you receive.
Endelea tu mamyto! MUNGU yupo...pray hard...i mean hard!Asante kwa ushauri japo mara nyingi hufanya hivo ninapokuwa nacho
Kutoa sana haimaanishi kwamba hutoaanguka au biashara haitoshuka.There is power in giving. Hili somo halieleweki kwa tulio wengi. The more you give the more you receive.
Ahahah haki kweli mshahara ukichelewa huwa watu wamechoka sana ukitoka mapema watu wanachangamka sanaHaujatoka hata hapa bank nmb hakuna folen..kuna mtu nimemuacha amejikunyataaaaa...mwe poleni