kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Heshimu watu sponsor hufarikiWatz bado sana!
Namshangaa sana Samia, nenda kariakoo hapo uone kama mashine za risiti wanatoa tena.
Kama hajaanza kutembeza bakuli hakuna kitu atafanya hapa nchini.