Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sawa mkuu, najua wewe kinachokusumbua ni uchama zaidiDah...Magu aliwabrainstorm balaa....hahajaa poleni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, najua wewe kinachokusumbua ni uchama zaidiDah...Magu aliwabrainstorm balaa....hahajaa poleni sana
Kuna mahali una shida sio bure.Unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa ..mambo yataka sawa tu!naona maccm bado mnaamini Magu alikua kila kitu kwetu..tuna Dk Mipango pale ataweka sawa mambo
On a serious note tuweke uvyama pembeni ..magu alibyofariki yametokea madudu makubwa mno .mie nna imani na samia .sijui kwann!..Sawa mkuu, najua wewe kinachokusumbua ni uchama zaidi
Huenda aiseeKuna mahali una shida sio bure.
Hivi hujui hiyo tarehe ilikuwa weekend??Si kawaida mshahara kupitiliza tarehe, ilikuwa tar 23 ikiangukia weekend mnapewa siku ya kazi ya mwisho wa weekend, mfano tar 23 itakuwa Juma pili mshahara ulikuwa unatoka tar 21 ya Ijumaa. Huenda mpaka ijumaa mfuko ulikuwa haujatuna.
Tumpe muda tuone.
NMB KAWEKA
Sh.ngapi?NMB KAWEKA
Sawa.. Ngoja tuone, muda ni mwalimu mzuriOn a serious note tuweke uvyama pembeni ..magu alibyofariki yametokea madudu makubwa mno .mie nna imani na samia .sijui kwann!..
Jamaa aliwabana sana vyimbo vya habari so madudu hayakusikika .hapo ndo alipowapata wajinga!...
Mama atasaidia sana kurudisha mzunguko kitaani mkuu..hebu imagune ss hv hata pumba zinaenda Kenya mkuu! Mipaka imefunguliwa tayari ..naamini mzunguki utarudi vyema ingawa sio mapema kiasi hicho ! Kama hukujenga kwa Kikwete this time lazima tujenge aise...mie nimekaa tayari tayari utawala ulr best haukua sio kbs jaman tuseme za ukweli!
Mshahara (NMB). Mm nipo CRDB BADOSh.ngapi?
Hivi mkuu enzi za jakaya hizo mashine zilikuwepo?Watz bado sana!
Namshangaa sana Samia, nenda kariakoo hapo uone kama mashine za risiti wanatoa tena.
Kama hajaanza kutembeza bakuli hakuna kitu atafanya hapa nchini.
Hazikuwepo, ila je makusanyo ilikuwa sh ngapi
Kuna aliyekosa mshahara? Pia kuna aliyekosa ajira? Kipindi cha magu ni wangapi walikosa ajira? Nijibu kiufasaha...Hazikuwepo, ila je makusanyo ilikuwa sh ngapi
KWANGU BADO. SIJUI NIKO BATCH YA NGAPI?
MamboSie wengiine watazamaji tyuuh.
Simple tu barua. Unataka kukopa nn. Juzi naenda CRDB eti huwezi kopa kama mshahara unaingia benki nyingine.JAMANI NAOMBA KUULIZA HOJA YA KUBADILI AKAUNTI YA MSHAHARA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE KUNA CHANGAMOTO YOYOTE WAWEZA PATA? JE INACHELEWA KUBADILISHWA?
NMB pia bado.Mshahara (NMB). Mm nipo CRDB BADO