Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
So ndo maana haijatoka kwa wote au?Kuna mtu nyeti kaniambia makusanyo ya mwezi uliopita ni bilioni 300 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So ndo maana haijatoka kwa wote au?Kuna mtu nyeti kaniambia makusanyo ya mwezi uliopita ni bilioni 300 tu
Mkuu sekikalini hakuna hela!So ndo maana haijatoka kwa wote au?
Mkuu sekikalini hakuna hela!
Watz na waafrika kwa ujumla hawanaga kanuni ya kulipa kodi kwa hiari, lazima waende kwa fimbo kama alivyokuwa anafanya Magu.
Watu walikuwa wanamuona kama katili lakini ile ndio staili inayofaa kwa walipa kodi wa tz.
Huwa nasema kila siku humu kwamba mtanzania huyu anaefurahia sana konda akisahau kumdai nauli ya sh. 500 ndio akalioe kodi kwa hiari?
Miezi 3 ijayo hali itakuwa mbaya zaidi maana huenda watu wakalipwa kwa awamu na hapo ndio akili zitawakaa sawa.
Acha ramli chonganishi.Mkuu sekikalini hakuna hela!
Watz na waafrika kwa ujumla hawanaga kanuni ya kulipa kodi kwa hiari, lazima waende kwa fimbo kama alivyokuwa anafanya Magu.
Watu walikuwa wanamuona kama katili lakini ile ndio staili inayofaa kwa walipa kodi wa tz.
Huwa nasema kila siku humu kwamba mtanzania huyu anaefurahia sana konda akisahau kumdai nauli ya sh. 500 ndio akalioe kodi kwa hiari?
Miezi 3 ijayo hali itakuwa mbaya zaidi maana huenda watu wakalipwa kwa awamu na hapo ndio akili zitawakaa sawa.
Unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa ..mambo yataka sawa tu!naona maccm bado mnaamini Magu alikua kila kitu kwetu..tuna Dk Mipango pale ataweka sawa mamboAcha ramli chonganishi.
Watz bado sana!Hilo somo inabid tuige kwa wakenya aise la kulipa kodi kwa hiari
Usimshangae Samia...tujishangae wote kwann tuko hivi?Watz bado sana!
Namshangaa sana Samia, nenda kariakoo hapo uone kama mashine za risiti wanatoa tena.
Kama hajaanza kutembeza bakuli hakuna kitu atafanya hapa nchini.
Kwanini Mpango na si Samia?Unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa ..mambo yataka sawa tu!naona maccm bado mnaamini Magu alikua kila kitu kwetu..tuna Dk Mipango pale ataweka sawa mambo
Alisema kbs amemchagua Mpango coz atamsaidia kwemye mambo ya uchumiKwanini Mpango na si Samia?
Acha uwongo... angalia usije ukawa mnafiki kabisa maana ushaingia kwenye sifa ya kwanza tayari!Mkuu sekikalini hakuna hela!
Watz na waafrika kwa ujumla hawanaga kanuni ya kulipa kodi kwa hiari, lazima waende kwa fimbo kama alivyokuwa anafanya Magu.
Watu walikuwa wanamuona kama katili lakini ile ndio staili inayofaa kwa walipa kodi wa tz.
Huwa nasema kila siku humu kwamba mtanzania huyu anaefurahia sana konda akisahau kumdai nauli ya sh. 500 ndio akalioe kodi kwa hiari?
Miezi 3 ijayo hali itakuwa mbaya zaidi maana huenda watu wakalipwa kwa awamu na hapo ndio akili zitawakaa sawa.
Magufuli alijaribu kututoa huko watu wakamnyea kichwani.Usimshangae Samia...tujishangae wote kwann tuko hivi?
Subiri mkuu ujionee showAlisema kbs amemchagua Mpango coz atamsaidia kwemye mambo ya uchumi
Mambo soon yatakua shwari mkuu..!Magufuli alijaribu kututoa huko watu wakamnyea kichwani.
Acha tu ajipumzikie! Ila muda utaongea
SawaAcha uwongo... angalia usije ukawa mnafiki kabisa maana ushaingia kwenye sifa ya kwanza tayari!
Ndugu tunarudi kwenye makusanyo ya bilioni 300 hadi 500.Mambo soon yatakua shwari mkuu..!
Ili uingize hio pesa lazima uwe na atleast 20 times hio amount katika regular business! 100 times in a major investment!
Usimcheke mtu mkuu
Only mentally[emoji846]Not materially
Not at allThat wont materialize to everybody though it works to many.
Huyo unayemtetea ndo anayeingia hapo sasa kama hujuiUnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa ..mambo yataka sawa tu!naona maccm bado mnaamini Magu alikua kila kitu kwetu..tuna Dk Mipango pale ataweka sawa mambo
You won't save what you don't haveJitahidi uwe unasave kwa dharura kama hizi
Dah...Magu aliwabrainstorm balaa....hahajaa poleni sanaNdugu tunarudi kwenye makusanyo ya bilioni 300 hadi 500.
Itabidi mama asafiri sana kama Mkwere ili kufidia gape.