Barackobama
Member
- May 20, 2021
- 20
- 21
NMB TAYARINMB pia bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NMB TAYARINMB pia bado.
Usimshangae Samia...tujishangae wote kwann tuko hivi?
Aaaah hayo si mapato ya kampuni 10 tuu mkuuu??Kuna mtu nyeti kaniambia makusanyo ya mwezi uliopita ni bilioni 300 tu
Acheni ku exaggerate mambo aiseeee, kila short fall mnamtaja JIWE, kitu kidogo mara JIWE... kumbuka "no one is indispensable in this world" amesahaulika muasisi wa taifa hili sembuse JIWE?? Halafu ukumbuke kwamba serikali yeyote iliyofanikiwa ni ile tuu yenye MIFUMO imara na inayofanya kazi, na siyo one man show....Mkuu sekikalini hakuna hela!
Watz na waafrika kwa ujumla hawanaga kanuni ya kulipa kodi kwa hiari, lazima waende kwa fimbo kama alivyokuwa anafanya Magu.
Watu walikuwa wanamuona kama katili lakini ile ndio staili inayofaa kwa walipa kodi wa tz.
Huwa nasema kila siku humu kwamba mtanzania huyu anaefurahia sana konda akisahau kumdai nauli ya sh. 500 ndio akalioe kodi kwa hiari?
Miezi 3 ijayo hali itakuwa mbaya zaidi maana huenda watu wakalipwa kwa awamu na hapo ndio akili zitawakaa sawa.
Hivi hapa nchini hakuna mfumo?Acheni ku exaggerate mambo aiseeee, kila short fall mnamtaja JIWE, kitu kidogo mara JIWE... kumbuka "no one is indispensable in this world" amesahaulika muasisi wa taifa hili sembuse JIWE?? Halafu ukumbuke kwamba serikali yeyote iliyofanikiwa ni ile tuu yenye MIFUMO imara na inayofanya kazi, na siyo one man show....
Dhamana ya mkono ni mshahara wako, sasa kama mshahara unapitia NMB na wewe unataka kukopa CRDB inakuja kweli??Simple tu barua. Unataka kukopa nn. Juzi naenda CRDB eti huwezi kopa kama mshahara unaingia benki nyingine.
Mataga a.k.a SUKUMA GANG! Utadhani magufuli aliwahi kuvuka hata hiyo bil 300.Kuna mtu nyeti kaniambia makusanyo ya mwezi uliopita ni bilioni 300 tu
Kwa hiyo serikali ya ccm itakua imefeli sio? Mataga bwana.Mkuu sekikalini hakuna hela!
Watz na waafrika kwa ujumla hawanaga kanuni ya kulipa kodi kwa hiari, lazima waende kwa fimbo kama alivyokuwa anafanya Magu.
Watu walikuwa wanamuona kama katili lakini ile ndio staili inayofaa kwa walipa kodi wa tz.
Huwa nasema kila siku humu kwamba mtanzania huyu anaefurahia sana konda akisahau kumdai nauli ya sh. 500 ndio akalioe kodi kwa hiari?
Miezi 3 ijayo hali itakuwa mbaya zaidi maana huenda watu wakalipwa kwa awamu na hapo ndio akili zitawakaa sawa.
Hapo shuleni kwenu ina maana mfumo ni very weak maana anayeogopwa ni Mwl mkuu tuu, kama ilivyokuwa enzi za JIWE. Wenzetu walioendelea wanatumia nguvu nyingi kuimarisha mifumo mbalimbali ili hiyo mifumo ndiyo ifanye kazi ya kusimamia mambo mbalimbali. Mfano kwenye utoaji haki mahakama zitengenezewe mifumo mizuri ya uendeshaji kesi (Kila hakimu apangiwe idadi maalumu ya kesi anazopaswa kusikiliza kwa mwezi/kwa mwaka, kesi ziripotiwe kwa uwazi/waandishi wawepo, kuwepo na sanduku la maoni ili wananchi watoe maoni yao kuhusiana na mahakimu na watumishi wa mahakama, hasa wala rushwa, uhuru wa kumkataa hakimu anayesikiliza kesi yako kama huna imani naye etc etc...Hivi hapa nchini hakuna mfumo?
Nakumbuka tukiwa shuleni kuna wiki mwalimu akishika zamu yake shule nzima ni full adabu ila mwingine akishika mitoto hadi saa 4 bado inaingia darasani.
Hii nchi haina shida ya mfumo.
Hapa nchini kuna mifumo ipo kila kona!Hapo shuleni kwenu ina maana mfumo ni very weak maana anayeogopwa ni Mwl mkuu tuu, kama ilivyokuwa enzi za JIWE. Wenzetu walioendelea wanatumia nguvu nyingi kuimarisha mifumo mbalimbali ili hiyo mifumo ndiyo ifanye kazi ya kusimamia mambo mbalimbali. Mfano kwenye utoaji haki mahakama zitengenezewe mifumo mizuri ya uendeshaji kesi (Kila hakimu apangiwe idadi maalumu ya kesi anazopaswa kusikiliza kwa mwezi/kwa mwaka, kesi ziripotiwe kwa uwazi/waandishi wawepo, kuwepo na sanduku la maoni ili wananchi watoe maoni yao kuhusiana na mahakimu na watumishi wa mahakama, hasa wala rushwa, uhuru wa kumkataa hakimu anayesikiliza kesi yako kama huna imani naye etc etc...
Kalewe Sasa mkuuu[emoji23][emoji23][emoji23]CRDB pia wameweka
Mkopo wa kwanza ulikua poa. Dhamana ni cheque number. Bank unapitisha kwokote. Wanasema hiyo sera imeanza March mwaka huu.Dhamana ya mkono ni mshahara wako, sasa kama mshahara unapitia NMB na wewe unataka kukopa CRDB inakuja kweli??
PoaaaahMambo
Ila unafurahisha sana best🤣🤣! Gonga k vant tu maisha ndo haya haya!Mimi sekta yangu nilipokea juzi ijumaa sasa hivi nimebakiwa na laki 3 na 4,000 na sprite moja na k-vant ndogo ya 4000. Kufika ijumaa sina kitu naanza kuishi kwa kubeti.
Umeolewa na mjeda au wewe ni mjeda?Kesho goma linatoka la wajeda. Nasubiria kwa hamu
Wewe kama nani ujue wewe ni mjinga Sana unawaza uwe paymaster kwa akili hizoMi ningewalipa tarehe 30, maana idadi ya siku ni zile zile 30.
Kama unatega na kuvua sawaWala, hata huitaji zaidi ya 100k kuingiza 500k per day , [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], daa maisha haya