Mishahara Mwezi Huu Kwa Watumishi Kuna Nini

Mishahara Mwezi Huu Kwa Watumishi Kuna Nini

Japo 23/23 ni sawa na 30/30 lakini kulipwa 23/23 ni afadhali kwa kuwa ile wiki moja i. e. 23-30 hatuihesabu kwa kuwa ukiwa na mshiko inapita haraka sana. Kwa hiyo mahesabu yetu yanaanza tarehe 1 - 23 wiki tatu kitu kinasoma
Akili fupi... kwahiyo ikiwa tar 30 hiyo wiki moja huipati hapo?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Si kawaida mshahara kupitiliza tarehe, ilikuwa tar 23 ikiangukia weekend mnapewa siku ya kazi ya mwisho wa weekend, mfano tar 23 itakuwa Juma pili mshahara ulikuwa unatoka tar 21 ya Ijumaa. Huenda mpaka ijumaa mfuko ulikuwa haujatuna. Tumpe muda tuone.

Wengine mshara tumeuona mchana huu, umeshatoka tayari! Nenda chap chap na kadi ya ATM kwenye tawi lililo karibu nawe!
 
Kopa! Anzisha biashara/mradi wowote ule wa kukufanya usiwe mtumwa wa mshahara. Hayo maisha unayopitia sasa nayakumbuka sana hata mimi nilipitia! Ila baada ya kuingia JPM, ilinilazimu kujiongeza.

Kwa sasa hata wasiponilipa mwaka mzima, kudadeki! hata sishtuki.
Sio rahisi ila ushauri mzuri
 
halaka ya nin bloo
jumatat nay aski ya kazi kumbuk haya wanaoproxess naoni wqatu wana choka
 
Lkn Watumishi mnapaswa Mumshukuru sana Hayati JPM ambaye alihakikisha mnapata mishahara yenu kila ifikapo trh 22 mpaka trh 23 ya kila mwezi hili halijawahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru.

tatizo lipo kwa watendaji/watekelezaji, endapo ukikuta watendaji/watekelezaji wana roho mbaya lazima mtaumizwa sana tena sana.

Ombeni sana kwa Mungu watu wenye roho mbaya amabo wamekabidhiwa majukumu ya kutekeleza haki zenu wabadilike kwa kuingiwa na roho mtakatifu au wapotee kabisa duniani.

mfano; ninge kuwa mimi nipo kwenye sekta ya malipo huko hazina, nigejiongeza kulipa mishahara ya watumishi wote leo trh 22 kwa kuwa kesho sio siku ya kazi, lkn wapi bwana....mijitu haibadiliki....roho za ajabu kabisa.
Hata mimi nimeshangaa, watu walipwe wkend wafanye matumizi jumatatu kazi ziendelee......au wanafikiri kuna muda wa kupoteza, hata biashara huku kwenye minada wkend hii naona zimedoda..
 
Si kawaida mshahara kupitiliza tarehe, ilikuwa tar 23 ikiangukia weekend mnapewa siku ya kazi ya mwisho wa weekend, mfano tar 23 itakuwa Juma pili mshahara ulikuwa unatoka tar 21 ya Ijumaa. Huenda mpaka ijumaa mfuko ulikuwa haujatuna.

Tumpe muda tuone.
Mwisho wa mwezi bado.
 
Back
Top Bottom