Mishahara Mwezi Huu Kwa Watumishi Kuna Nini

Watz bado sana!

Namshangaa sana Samia, nenda kariakoo hapo uone kama mashine za risiti wanatoa tena.

Kama hajaanza kutembeza bakuli hakuna kitu atafanya hapa nchini.
Heshimu watu sponsor hufariki
 
Tatizo la mswahili....mkidekezwa mnadhani ni haki

Mshahara mtalipwa ndani ya mwezi so tulieni hakuna kifungu kilichovunjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…