Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 316
Mishahara ya serikali inajulikana kwa viwango vyake (PS/ TGS Scale A,B,C,D ?). Ingawa sijui kama inapatikana online.
tup basi...kama unaijua...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishahara ya serikali inajulikana kwa viwango vyake (PS/ TGS Scale A,B,C,D ?). Ingawa sijui kama inapatikana online.
inakupa hasira gani mishahara hiyo ?, most of these CEO's have perfomance based contracts and they negotiate their salaries, this is bcoz of the complexity of the job, magnitude and decision making @ that level,being contract based and renewed on perfomance, remuneration is commisurate(sp) to the risks taken to leave a healthy permanent jobKati ya Mishahara inayotia hasira na kufany anione hii nchi sio masikini ni ya CEO wa PPRA na PSPF. CEO wa PPRA Dr. Mlinga analipwa 7 Million, wakati mama Mmanga wa PSPF analipwa 6.7 Milion...!
Jamani hii inatisha...! Bado hawa watu wanamarupurupu ya kutisha, Gari, nyumba traveling allowance etc...! Leo hii tunaambiwa nchi ni masikini...!
Kati ya Mishahara inayotia hasira na kufany anione hii nchi sio masikini ni ya CEO wa PPRA na PSPF. CEO wa PPRA Dr. Mlinga analipwa 7 Million, wakati mama Mmanga wa PSPF analipwa 6.7 Milion...!
Jamani hii inatisha...! Bado hawa watu wanamarupurupu ya kutisha, Gari, nyumba traveling allowance etc...! Leo hii tunaambiwa nchi ni masikini...!
QUOTE=terabojo;1308004]Wana JF leo napenda kuwakilisha hoja ya kutaka serikali na mashirika ya umma au yale ambamo serikali ina hisa nyingi itangaze/watangazie walipa kodi wa nchi hii mishahara na marupu rupu wanayowalipa hao mawaziri; makatibu wa Kuu na CEO's wa mashirika ya umma ili sis walala hoi tujue kwani ndo tunakamuliwa.
Tangaza wako kwanza. Mshahara ni siri ya mwajiriwa na mwajiri.
Mishahara ya mawaziri na makatibu wakuu ni "siri ya mhusika", lakini ile ya walalahoi siyo siri. Siku wakiongeza senti moja huutangazia ulimwengu kuwa "tumeongeza mshahara wa kima cha chini kutoka 60,000 hadi 60,000.01. AIBU KWA MAANA YA KUWA SERIKALI HAIONI AIBU. Endeleeni kucheza na ustahamilivu wetu.Utaambiwa mshahara ni siri ya mhusika.
mbona nchi za watu kila kitu kipo wazi............?....sisi tunaficha nini?
Nani kakwambia?Mshahara ni siri ya mwajiriwa na mwajiri.
BASIC SALARY TSHS 401,880
TALGWU CONTRIBUTION TSHS 8,037
INCOME TAX TSHS 37,464
LAPF PENSION TSHS 20,094
NHI TSHS 12,056