Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
Acha kufuatilia masuala binafsi ya mtu
Una akili kweli wewe?. Kwa nini usiende kucoment kwenye facebook unakuja huku? Unaita haya ni mambo ya mtu binafisi? Mtu ninayemlipa mimi na wengine kwa kodi zetu? Uelewa wako uko wapi? kwenye makalio?? tafuteni forum zinazoenda na uelewa wenu, majungu, ushambenga , ufitini nk sio humu.........