Kati ya vitu ambavyo anasifiwa rais magufuli ni udhibiti wa PESA. Na huonekana anauchungu sana na watanzania. Ningefurahi siku ningesiki rais anatembelea Toyota.
Na amejipunguzia MSHAHARA yeye mwenyewe hadi milioni 50 kuziilisha uzalendo wake katika taifa.....yaani kama raisi wa urugway....mbele kwa mbele......power
kati ya vitu ambavyo anasifiwa rais magufuli ni udhibiti wa pesa. Na huonekana anauchungu sana na watanzania. Ningefurahi siku ningesiki rais anatembelea toyota.
Na amejipunguzia mshahara yeye mwenyewe hadi milioni 50 kuziilisha uzalendo wake katika taifa.....yaani kama raisi wa bolivia....mbele kwa mbele......power
Kati ya vitu ambavyo anasifiwa rais magufuli ni udhibiti wa PESA. Na huonekana anauchungu sana na watanzania. Ningefurahi siku ningesiki rais anatembelea Toyota.
Na amejipunguzia MSHAHARA yeye mwenyewe hadi milioni 50 kuziilisha uzalendo wake katika taifa.....yaani kama raisi wa Bolivia....mbele kwa mbele......power
Siku hiyohiyo naenda kuprint t shirt ynye sura yake naivaa
Unauhakika mumewako atakubaliana na huo utaratibu?
Hadi milioni 50! Kwani kwa sasa rais unajua anapewa kiasi gani kama mshahara? With reference please, maana kujibu tu anapewa bilioni 1 kwa mwezi kichaa yoyote anaweza akajibu hivyo. Hivyo naomba kielelezo cha mshahara wa rais kwa kuweka salary slip hapa jukwaani.
Hiyo 50mil ni kwa muda gani
Hadi milioni 50! Kwani kwa sasa rais unajua anapewa kiasi gani kama mshahara? With reference please, maana kujibu tu anapewa bilioni 1 kwa mwezi kichaa yoyote anaweza akajibu hivyo. Hivyo naomba kielelezo cha mshahara wa rais kwa kuweka salary slip hapa jukwaani.
Teh teh..Salary slip??..Aitolee wapi?Hadi milioni 50! Kwani kwa sasa rais unajua anapewa kiasi gani kama mshahara? With reference please, maana kujibu tu anapewa bilioni 1 kwa mwezi kichaa yoyote anaweza akajibu hivyo. Hivyo naomba kielelezo cha mshahara wa rais kwa kuweka salary slip hapa jukwaani.
Kati ya vitu ambavyo anasifiwa rais magufuli ni udhibiti wa PESA. Na huonekana anauchungu sana na watanzania. Ningefurahi siku ningesiki rais anatembelea Toyota.
Na amejipunguzia MSHAHARA yeye mwenyewe hadi milioni 50 kuziilisha uzalendo wake katika taifa.....yaani kama raisi wa Bolivia....mbele kwa mbele......power
analipwa mil 404.27 jiulize nimejuaje
Mbona unajifunga mwenyewe..Kama mil 50 kwa wiki hiyo 404.27 inakujaje?kwa wiki