MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Kuna haja kuwe na hoja ya Ukomo ktk Ubunge say vipindi viwili au vitatu tu!
Hebu fukiria.. mtu analipwa 84,000,000 kwa mwaka na mbunge kwa miaka 20 au 30???
Yet hawa hawa wabunge wako ktk Bodi za mashirika mbali2 ambapo a Sitting ni 500,000 hadi 1,000,000 kwa siku!
Is our society just and Fair?
Hebu fukiria.. mtu analipwa 84,000,000 kwa mwaka na mbunge kwa miaka 20 au 30???
Yet hawa hawa wabunge wako ktk Bodi za mashirika mbali2 ambapo a Sitting ni 500,000 hadi 1,000,000 kwa siku!
Is our society just and Fair?