Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mishahara ya viongozi wa Tanzania

yule aliekua analalamika hamna haja ya wabunge kuendesha kilimo kwanza ama kuvaa suit zabei ghari sana, mkewe juzi ameoneka ndani ya kilimo kwanza mpya kabisa, pesa wanazipenda na hawawezi kuwa tayari kuongea juu ya mishahara wala marupurupu watanzania tutaendelea kuumia waachache wakifaidika
 
Naomba anayejua mshahara wa hawa mafsadi wa ccm kuanzia mawaziri wote pamoja na mkuu wa nchi {dhaifu} ili tujue wanachukuwa mkwanja kiasi gani.. Kwani na anawalipa wao mfano jk?
 
jamani mimi nadhani ni wakati wa kuiweka wazi mishahara yote ya watumishi serikalini ili tuweze kuona tofauti iliyopo, au mnasemaje wadau?

 
shahara ya nini bana kama nawesa acha chukua mezi yote na mbado ikawa multi billionea?
 
Rais wa Tanzania analipwa mshahara wa shs $ 450,000 kwa mwaka. Hapo ni nje ya marupurupu yote. Confirmed
 
...Now that we know, if the source can be cpnfirmed, what is our next course of Action, or the urge to know our president's salary was but a tantrum??
 
Swali zuri sana na nadhani Ikulu watakapo kamilisha site yao ni vizuri wakiziweka habari hizi wazi kwa wananchi kuziona... Waajiriwa wote wateuliwa na rais ni vizuri tukifahamu mishahara yao!
makubwa
 
Rais wa Tanzania analipwa mshahara wa shs $ 450,000 kwa mwaka. Hapo ni nje ya marupurupu yote. Confirmed
Mhnnnn! what about this one:-
The president of Tanzania Kikwete salary per annum is Tsh 300,000,000/= three hundred million of which if convert to USD is $187,500/ the president gets many benefits free accomodations at resident all food and loundry and transportations is fully paid the president gets full medical including all his family members president also gets clothing allowance, travel and enteratiainment allowance


Read more: What is the salary of Tanzania president
 
Nafikiri the issue of salary is too personal. Mimi nafikiri tuzungumzie mishahara ya wafanyakazi nchi nzima bila kujali professional
kwani mishahara ya Wafanyakazi ni ya kiujanjaunjaja tj
 
Nafikiri the issue of salary is too personal. Mimi nafikiri tuzungumzie mishahara ya wafanyakazi nchi nzima bila kujali professional
kwani mishahara ya Wafanyakazi ni ya kiujanjaunjaja tj

Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ni jambo linalotakiwa liwe public, siyo "too personal." Nafahamua kuwa mishahara ya wafanyakazi wa serikalini katika nchi nyingi za west inapatika online; unahitaji tu kujua namna ya kutafuta.
 
Nafikiri the issue of salary is too personal. Mimi nafikiri tuzungumzie mishahara ya wafanyakazi nchi nzima bila kujali professional
kwani mishahara ya Wafanyakazi ni ya kiujanjaunjaja tj

Why is it too personal? Who foots the bill for their salaries? It's the taxpayers, right? As taxpayers we have the right to know how our money is being spent.

If this government is of the people, by the people, and for the people then there ought to be total transparency in the way it operates and that includes making public the salaries of those who work in it.
 
swala sidhani kama ni mshahara swala ni namna utendaji ulivyombovu kwa hao wanaolipwa mishahara mikubwa au midogo, mh mbunge mh rais wanaweza kulipwa hivyo walipwavyo lakin wawajibike? kitu ambacho ni tofauti kabisa. na pili kuna umuhimu wa serikali kutengeneza mfumo mzuri wa hii mishahara utakaoenda sambamba na viwango vya elimu nk na hii ni pamoja na wabunge kwani na wao ni miongoni mwa watumishi wa umma (kisiasa) n.k
 
nimeipenda hii article juu ya Makerere University japo inaongelea masuala yaliyopita, fuatilia kwenye hizo red utagundua ni kwa nini nchi zetu haziendelei labda kutokana na makosa hayo!
.......
......To regain glory
In order for Makerere to regain its past glory it has to shed some new courses and go back to its core academic subjects with manageable numbers. If we want 30,000 students, let us build facilities for 30,000 students and not squeeze them in facilities meant for 5,000 students.


From 1971 when Idi Amin took over power, Makerere was not spared the fate that befell the nation. Many staff left because their lives were threatened. The ensuing economic chaos led to shortages of essential commodities leading to inflation.
The Uganda Shilling lost value and salaries became inadequate. Since then, the currency, through the efforts of government and Bank of Uganda, has stabilised. Essential goods are readily available. However, because of political instability under Amin, salaries in Uganda became distorted. This has resulted in salary disparity leading to a lot of discontent and strikes.


The example quoted often is the wages paid by Kampala Capital City Authority to a tea-girl of Shs1.2 million per month as compared to an intern doctor who gets about Shs600,000 per month. The tea-girl salary compares very favourably with those of lecturers at Makerere. In the medical field, senior consultants take home less than Shs2 million per month and these people are expected to save people's lives.


I have the last British Colonial Staff list with all the salaries paid to the various senior staff from police offers to judges. The current salary scales bear no resemblance to the booklet I have.


When Makerere became a university, professors were appointed and these professors were the highest paid government staff. The Governor of Uganda was paid £3,000 per annum plus £2,000 duty allowance. The Chief Secretary earned £3,500 per annum. Permanent secretaries, who were all expatriates, earned £2,800 per annum. Makerere academic professors earned £3,000 per annum while medical clinical professors earned £3,300 per annum.


This soon changed after Independence. When Ugandans became permanent secretaries, they said: "We run a whole ministry how can professors who only run departments earn more than we do?" There started the downgrading of university staff.

The reason why the British paid professors more money than permanent secretaries was based on the fact that a professor can always find a job as a professor in other parts of the world whereas a permanent secretary is only that in Uganda.


editorial@ug.nationmedia.com


more on this source: http://www.monitor.co.ug/News/National/Aliker+reflects+on+90+years+of+Makerere/-/688334/1471956/-/item/0/-/u5sm4h/-/index.html
 
The only one who knows the salary of the president is the PMG(PAYMASTER GENERAL)
 
Mishahara ya viongozi wa Tanzania midogo sana ndio maana rushwa imetawala na njia zisizo sahihi za kujipatia kipato. Huwezi kumlipa waziri mshahara wa milioni 2-3
 
Back
Top Bottom